Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Sasa ya kanisani umeleta huku ili tukusaidie nini.
KWA AKILI ZAKO UNADHANI MAONI YATAKAYOTOLEWA HUMU YATAFANYA WAUMINI WASIENDELEE KUMTOLEA Mungu?
Kutoa sadaka ni suala la kiimani tutaendelea kutoa bila kujali tunamtolea nani
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Huo ndio mfumo,ukishindwa kuendana nao achana nao!. Watu wanapoanzisha dini,wanaanzisha kwa malengo yao maalum!
 
Kanisa katoliki si dawa na kanisa binafsi kama Mwamposa ambaye akikusanya sadaka anatia mfukoni.hapo padre kaomba kea kufanya taratibu hadi jimbo linajuwa.gari hiyo ni ya kanisa akihama au akiacha update inabaki hapo kea majukumu ya kanisa.Mchango huo hata usipofika basi wafadhili watajazia.
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
 
Hakuna huo utaratibu na padre haruhusiwi kumiliki mali binafsi. Hapo imetumika lugha ya mafumbo aliposema gari lake anamaanisha "gari la parokia" . Wakati mwingine mapadre wakiomba kuchangiwa labda kwa 'mkono wa kwaheri' au sababu fulani, hiyo pesa huwa hawaitumii kwa matumizi binafsi bali utakuta wanapeleka kutoa misaada au wanapeleka kwenye shirika fulani na huwa hawasemi inabaki mioyoni mwao. Mfano kuna padre aliandika vitabu kadhaa kwa hiyo akaomba waumini wamchangie kununua hivyo vitabu ili apate pesa kidogo, Lakini kumbe baadaye ilijulikana ile pesa yote alipeleka kuchangia kituo maalum cha rehab.
Hao labda mapadee wa Zamani.

Mapadre wa siku hizi wanapenda bata.

  • Wanajengewa maghorofa
  • Wanagonga mademu
  • Wanakunywa pombe

Na masisita siku hizi ni Kama baadhi ya mashirika hayana pesa, wanazurula mitaani ovyo.

Kanisa katoliki Sasa hivi halina undugu na masikini.

Michango inajengwa kuanzia kwenye jumuiya, ukikwepa jumuiya ujue hata mazishi kwako hutamuona
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana nikiwa kama muumin kindakindaki mkatoliki

Miezi miwili iliyopita nilijumuika na waumini wenzangu kwenye misa ya asubuh ndani ya kanisa katoliki lililopo maeneo ya saint carol wilayani sengerema jijini Mwanza

Mamia ya waumini tulijumuika kwenye misa hiyo,

Kitu kilichonishangaza kwenye hiyo ibada ni pale padre alipoomba waumini tumchangie pesa kiasi cha milioni 90 kwa ajili ya kununua toyota kluger ya kutembelea

Padre hakuishia hapo bali aliendelea kwa kutoa utaratibu wa namna gani pesa hiyo itapatikana

Alitoa amri kila kigango kimchangie milioni 1 na pesa nyingine alielekeza namna zitakapopatikana infact nilijiskia vibaya sana na kujiuliza hv wakatoliki kweli tumefikia hatua hii?

Leo hii tena tarehe 10 nimeudhulia misa ya asubuh kwenye kanisa lilelile padre aliongea kauli yenye ukakas sana, kwamba baba paroko amemwagiza amchukulie kiasi cha milioni moja ambacho aliwaomba waumin wamchangie akiwa kwenye ibada siku za nyuma zilizopita

Niliposkia kauli hiyo nilitoka ndani ya kanisa na kuondoka zangu

Sasa swali langu linaenda kwa wale viongozi wa juu wa kikatoliki

Kwanini mmetufanya sisi waumini wenu kama major source of income? Au mnataka tusiwe tunakuja kusali?

Haya mambo kwenye ukatoliki yameanza lini mbona mnajidhalilisha

Na hiyo kluger ya milion 90 ni kluger gan au anataka range?

Tena kaongea kabisa kwamba ameongea na wataalam wa magar wakamshaur gar nzur inayofaa kwa mazingira ya kitanzania ni kampuni ya toyota na wakamshaur anunue toyota kluger ambayo wakampatia na bei tsh milion 90 wakatoliki badiliken mnatia aibu
Zingatia vigezo na masharti ya kanisa, ukiombwa, toa.
Mama yako akitakiwa kupewa komunio ya mwisho kijijini padre aende na baiskeli au daladala?
 
Padri haruhusiwi kumiliki MALI… hata ikatokea umewiwa kumzawadia hilo gari ukaandika jina lake ujue hiyo ni mali ya Jimbo … wengi wanaandika ndugu ambapo kisheria haziwi mali zao.
 
Kuna mwingine baada ya kumalizika zoezi la kutoa sadaka kabla hazijahesabiwa aliingiza mkono kapuni na kuchota sadaka kadiri alivyoweza kuzikamata na zilizobaki aliwaambia wakusanya sadaka kuwa hizo zilizobaki kapuni ndio wakazihesabu, yeye tayari keshajichotea zake kwa matumizi binafsi
Mkuu ni kweli!??
au ni furahisha genge
 
ULALAMISHI MWINGI NI TABIA YA KIUANAMKE AU KIMASKINI. WEWE KAMA HUNA NYAMAZA. SISI TUTACHANGIA. MBONA SI ISSUE? HUJALAZIMISHWA. KAMA HUNA LALA MBELE AU NYUTI TU WATAENDELEA WENGINE KUCHANGIA. NYIE MADOGO WA MIAKA YA 2000s ni walalamishi sana. Mambo mengine unaamua tu kama mwanaume.
Mbona u aaandika kwa herufi kubwa tupu kama watu wa mvuti!
 
Mkuu ni kweli!??
au ni furahisha genge
ndiyo ni kweli, hii michezo ya kuchezea sadaka ipo mingi sana. Kuna mwingine alizipepeta sadaka kwenye chombo chake akidai ni mabaki ya chenji zilizobaki baada ya matumizi makubwa ya kujinunulia mahitaji, akawarushia kwa kuwamwagia wachukue chenji zao. Hataki masilesile
 
Kuna mwingine baada ya kumalizika zoezi la kutoa sadaka kabla hazijahesabiwa aliingiza mkono kapuni na kuchota sadaka kadiri alivyoweza kuzikamata na zilizobaki aliwaambia wakusanya sadaka kuwa hizo zilizobaki kapuni ndio wakazihesabu, yeye tayari keshajichotea zake kwa matumizi binafsi
Hii Kali aisee.
 
Back
Top Bottom