Mapadre acheni kuudhalilisha ukatoliki (padre aomba waumini wamchangie milion 90 anunue kluger ya kutembelea

Wee Kama Mimi[emoji28]
 
Upo sahihi
 
Huo ni utasho wa mtu. Utawa wao unawataka waishi kwa kiasi, ila si wote wanajifunga na nadhiri zao, binadamu ni dhaifu!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Unajua mm naenda nje ya Mada ila ntarudi mwishoni,tunajua mapadri hawatumii mikuyenge isipokuwa Kwa kukojoa si ndio?Kwann vatikani wasiweke vigezo kila atakaye upadri aasiwe,na hili litapunguza kashfa ya mapadri kunajisi alter boys.Kuhusu Toyota Kruger nahisi ni too much,kwanza kama ni safari wanagari za parokia,kuhusu misele ya hapa na pale nashauri wanunuliwe punda,viongozi kibao wa enzi hizo walipanda punda.
 
Mwambieni hamna pesa ila mko tayari kufunga na kumuombea miezi mitatu ili apate hiyo hela…! Maana wao hata sisi tukikosa hela huwa wanasema watatuombea hawatupi pesa! Chamsingi mwambieni mtamuombea awe na imani!
 
Sasa utaenda kusali wapi kusiko na michango ya kununua magari? Kumbuka kuwa wamisionari waliokuwa wanafanya kazi hiyo siku hizi hawapo na hawaji afrika. Tupo kwenye zama zingine, sisi wenyewe ndio wamisionari tunajenga makanisa na kuwanunulia vyombo vya usafiri viongozi wetu wa kidini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…