Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
Wakuu moja kwa moja kwenye mada,.
nimekuwa na tatizo yani kati kati ya mapaja ambapo zile mbegu mbili zaegemea(zinapumzikia)naona kuna alama fulani imejichora na kisha huwa nikiwasha hutoka unga unga wakuu na jana nimetizama naona kama kuna vijipele ambavyo kwa mbali kama mabaka .
tatizo ni nini wakuu naombeni ushauri wenu wa awali
nimekuwa na tatizo yani kati kati ya mapaja ambapo zile mbegu mbili zaegemea(zinapumzikia)naona kuna alama fulani imejichora na kisha huwa nikiwasha hutoka unga unga wakuu na jana nimetizama naona kama kuna vijipele ambavyo kwa mbali kama mabaka .
tatizo ni nini wakuu naombeni ushauri wenu wa awali