Mapambano bungeni ni dhidi ya ajenda mahususi ya CCM ya kuhodhi Bunge la Katiba-Mwl Lwaitama

Unajiita Geniusbrain????? Am not sure na ulicho andika hapa kama kina ugenius ndani yake its just a peace of rubbish. ...possibly ugenius wa JOGOO akisha kuwa mkubwa analala na mama yake.... nao pia ni ugenius.......shame.

Hakuna jipya kwenye haya uliyoyaeleza, tumeisha yasikia sana kwa viongozi wako. Na Lwaitama anajulikana kwa kupayuka na kutotumia udokta wake kufikiri. Hivyo hitimisho la thread uliyoileta twaweza sema ni thread ya craaaaaaaaaaaaaaaaaap.
 
Hakuna jipya kwenye haya uliyoyaeleza, tumeisha yasikia sana kwa viongozi wako. Na Lwaitama anajulikana kwa kupayuka na kutotumia udokta wake kufikiri. Hivyo hitimisho la thread uliyoileta twaweza sema ni thread ya craaaaaaaaaaaaaaaaaap.

Jina lenyewe ni ---- - GeniusBrain. Kinachotoka humo ni ---- kupita maelezo. Undhani font kubwa ndio ushawishi? Hoja yenye nguvu hata ikiwa na font size ya kawaida itafika tu. Basura!
 
Ndiyo maana MACCM HAWAPENDI WASOMI WAKWELI KABISA ILA WANAWAKUMBATIA WAPUMBAVU MF MWIGULU.
 
Kwani nani angeweza kuamini Gadafi angeondolewa madarakani?Vivyo hivyo kwa ccm.Wazungu wanasema "It is just a matter of time"
 
Mkuu umeongea pointi
 
Hakuna jipya kwenye haya uliyoyaeleza, tumeisha yasikia sana kwa viongozi wako. Na Lwaitama anajulikana kwa kupayuka na kutotumia udokta wake kufikiri. Hivyo hitimisho la thread uliyoileta twaweza sema ni thread ya craaaaaaaaaaaaaaaaaap.

Mbowe na Sugu mnasema hawana hoja mkisingizia elimu yao ndogo, haya huyu naye hatumii udokta wake kufikiri.hatuwaelewi nyie watu
 
mbowe na sugu mnasema hawana hoja mkisingizia elimu yao ndogo, haya huyu naye hatumii udokta wake kufikiri.hatuwaelewi nyie watu

acheni upumbavu.hivi ninyi ni watanzania?kati ya hayo yaliyotajwa hapo juu,ni mtanzania gani asiyeyapenda?au mnadhani upinzani wanakubali kudhalilika kwa maslahi ya nani kama si watanzania?
 
Hakuna jipya kwenye haya uliyoyaeleza, tumeisha yasikia sana kwa viongozi wako. Na Lwaitama anajulikana kwa kupayuka na kutotumia udokta wake kufikiri. Hivyo hitimisho la thread uliyoileta twaweza sema ni thread ya craaaaaaaaaaaaaaaaaap.

haya maneno hayana msingi.mleta thread ana uhuru wa kueleza mawazo yake hata kama huyapendi ,
acha wengine wajadili maana inaonekana huna la kusema bali unataka tukusome tu.
kama huna comment kaa kimya si lazima ujibu.
 
Mimi nadhani nia ya CCM imekuwa wazi hata kabla ya mchakato wa kuandika katiba mpya haujaanza. Tukumbushane haya yafuatayo kwa ufupi:-
  • Katika mpya haikuwemo kwenye manifesto ya CCM iliyotumika kuomba kura kwa wananchi mwaka 2010;
  • Mwanasheria Mkuu wa serikali alisikika akisema hakuna haja ya kuandika Katiba mpya kwani kwa mtazamo wake hii iliyopo inakidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye ya nchi. Sana sana alikuwa akiongelea mabadiliko ya vipengele vichache vya katiba kuihuisha iendane na wakati;
  • Waziri wa sheria wakati huo Bi selina Kombani naye alisikika akitoa msimamo unaoshabihiana na wa mwanasheria mkuu kuwa hakuna haja ya Katiba Mpya.
  • Aliyekuja kubadilisha upepo wa mambo ni Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya muungano ambaye alitoa fursa kwa katiba mpya kuandikwa - na sikumbuki iwapo jambo hili lilijadiliwa kwenye vikao vya CCM kabla mwenyekiti wao hajatoa tamko la kuanza kwa mchakato wa katiba mpya.
  • Hata ulipotokea mgogoro baina ya wabunge wa CCM na wale wa upinzani bungeni kuhusu muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba ni Mwenyekiti wa CCM ndiye aliyechukua initiatives za kukutana na wapinzani na wadau wengine na hatimaye kuurudisha muswada ule kwa marekebisho.
Hivyo ninaweza nikasema kwa usahihi kabisa kuwa wazo la katiba mpya halikuwa la CCM kama chama bali lilikuwa la Mwenyekiti wao. Kila mara bunge la Jamhuri lilipopata nafasi ya kupitisha sheria zinazohusiana na Katiba CCM wamekuwa mstari wa mbele kupoka hatamu ya mabadiliko ya Katiba ili kuingiza matakwa yao ya kichama. Hata hizi juhudi za sasa za CCM kuuteka mchakato wa bunge la Katiba ni muendelezo tu wa zile kauli za viongozi waandamizi wa serikali akiwemo mwanasheria mkuu wa serikali na waziri wa sheria wa wakati huo kuwa Tanzania hatuhitaji katiba mpya.
 
Dk anatukumbusha tu kuwa katiba mpya haikuwa ajenda ya CCM sio jana wala leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…