Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sasa kamati ya Samia ya nini?Kwani kuna COVID-19 kwenye ardhi hii?
Pole sanaMungu wa mbinguni wewe humuamini sis tunamuamini na tunamuishi, ndiyo maana majaribio yote yanashinwa. Mungu akisimama wewe si chochote
Ni katika utaratibu ule ule tuliouzoea, mama amekuwa mbobevu wa NGOs. Anawafurahisha wale wenye platform ya kusikika kwa manufaa ya wapiga dili.Sasa kamati ya Samia ya nini?
Covid 19 Tz ni mafua tu. Usihofu mkuu, sisi huku hata kukumbuka hiyo hatukumbuki. Maisha yanaendelea. Sasahivi wafanyakazi wanasubiri maneno kutoka kwa mama (hotuba).Hivi ni kweli kabisa Rais Samia ana nia ya kweli ya kupambana na COVID-19?
Sijui kama na nyie mnafuatilia yanayoendelea huko India sasa hivi!
Akina Narendra Modi walikuwa huko West Bengal wanapiga kampeni za kisiasa utadhani hamna kesho. Ona sasa kilivyoumana.
Sasa kweli hiyo kamati aliyoiunda Rais Samia ili imshauri kuhusu corona ndo imemwambia kwamba ni sawa tu watu kwenda na kurundikana hapo uwanja wa Kirumba namna hiyo?
Ona hata hapo walipokaa hao viongozi! Hakuna social distancing. Hakuna barakoa. Hakuna tahadhari yoyote ile ya maana.
Hahahaaaaa…..what is this?
View attachment 1769853
Rais Samia alisema keshaunda kamati ya corona!Kila mtu alimuona Mpango alivyokwa anakohoa siku ile amefanya press conference baada ya kutoka hospital; huyu bwana aliponea chupu chupu lakini hata baada ya kupona corona bado havai barakoa wala hakai mbali na wenzie to social distance!! Hii ni hatari sana hasa kwa viongozi wenzie anaokutana nao kila siku!! Try to social distance, hata hao walinzi wa Rais pia wajitahidi kukaa mbali ,sometimes wanaonekana kuwa karibu sana na Rais na haijulikani wanakolala!!!
Oh yeah?Covid 19 Tz ni mafua tu. Usihofu mkuu, sisi huku hata kukumbuka hiyo hatukumbuki. Maisha yanaendelea. Sasahivi wafanyakazi wanasubiri maneno kutoka kwa mama (hotuba).
Kazi Iendelee
Oh yeah?
Kwa hiyo corona si changamoto za upumuaji tena?
Kila taifa lipo duniani kwa sababu. Sio kila kinachowakuta wengine kitukute na sisi, Mungu wetu yupo hai.Hivi ni kweli kabisa Rais Samia ana nia ya kweli ya kupambana na COVID-19?
Sijui kama na nyie mnafuatilia yanayoendelea huko India sasa hivi!
Akina Narendra Modi walikuwa huko West Bengal wanapiga kampeni za kisiasa utadhani hamna kesho. Ona sasa kilivyoumana.
Sasa kweli hiyo kamati aliyoiunda Rais Samia ili imshauri kuhusu corona ndo imemwambia kwamba ni sawa tu watu kwenda na kurundikana hapo uwanja wa Kirumba namna hiyo?
Ona hata hapo walipokaa hao viongozi! Hakuna social distancing. Hakuna barakoa. Hakuna tahadhari yoyote ile ya maana.
Hahahaaaaa…..what is this?
View attachment 1769853