#COVID19 Mapambano dhidi ya COVID-19: Rais Samia anayo dhamira ya kweli? Kinachoendelea India kinatisha

#COVID19 Mapambano dhidi ya COVID-19: Rais Samia anayo dhamira ya kweli? Kinachoendelea India kinatisha

Kila taifa lipo duniani kwa sababu. Sio kila kinachowakuta wengine kitukute na sisi, Mungu wetu yupo hai.
Sasa kwa nini aliunda kamati ya corona?

Au ni mwanya na fursa ya kupiga hela?
 
Mkuu inawezekana kamati haijapata majibu.

Kamati nadhani majibu wanayo tatizo ni timing ya kuweka wazi mapendekezo yao!! Kumbuka kuwa Rais pia hajaweka wazi Uchunguzi wa BOT alioagiza ufanyike!!
 
Hivi ni kweli kabisa Rais Samia ana nia ya kweli ya kupambana na COVID-19?

Sijui kama na nyie mnafuatilia yanayoendelea huko India sasa hivi!

Akina Narendra Modi walikuwa huko West Bengal wanapiga kampeni za kisiasa utadhani hamna kesho. Ona sasa kilivyoumana.

Sasa kweli hiyo kamati aliyoiunda Rais Samia ili imshauri kuhusu corona ndo imemwambia kwamba ni sawa tu watu kwenda na kurundikana hapo uwanja wa Kirumba namna hiyo?

Ona hata hapo walipokaa hao viongozi! Hakuna social distancing. Hakuna barakoa. Hakuna tahadhari yoyote ile ya maana.

Hahahaaaaa…..what is this?

View attachment 1769853
Jana hukuona mkutano mkuu wa CCM hali ilivyokuwa?
 
Rais Samia alisema keshaunda kamati ya corona!

Hiyo kamati ndo imemshauri haya mambo ya mikusanyiko ya watu wengi hivi iendelee?

She is not serious about!

Naona alisema kaunda hiyo kamati kuwaridhisha tu baadhi ya watu.

Maana haiingii akilini kabisa…
Bado kamati inafanya utafiti. Hivyo kazi iendelee hadi utafiti utakapokamilika
 
Kamati nadhani majibu wanayo tatizo ni timing ya kuweka wazi mapendekezo yao!! Kumbuka kuwa Rais pia hajaweka wazi Uchunguzi wa BOT alioagiza ufanyike!!
Ama watu wanapewa kazi lakini hazikamiliki kwa wakati.
 
Pengine hiyo kamati haijampa ripoti au imemhakikishia kuwa hakuna corona nchini.
 
Ni katika utaratibu ule ule tuliouzoea, mama amekuwa mbobevu wa NGOs. Anawafurahisha wale wenye platform ya kusikika kwa manufaa ya wapiga dili.

Nani mwingine umemsikia anazungumzia korona au vifo vya korona tangu awepo yeye.

Tuliambiwa ile Marathon ya Kili itajibu, tukatishiwa kuwa baada ya maziko ya Mwamba tutaelewa sayansi ya barakoa, mechi za simba na yangu, Mkapa ilijaa yote tukaambiwa tutaokota kama kumbi kumbi.

Leo wooote kimya.
Nasikia corona inapenda sana watu wabishi!
 
Back
Top Bottom