Mapambano dhidi ya nzige: China yaandaa jeshi la bata laki moja (100,000) kukabiliana na nzige Bilioni 4

Mapambano dhidi ya nzige: China yaandaa jeshi la bata laki moja (100,000) kukabiliana na nzige Bilioni 4

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Wakati Kenya ikitumiia mabilioni ya shilingi kununua sumu ya kupulizia nzige na kukodi ndege kadhaa, wenzetu China wana wazo lingine kabisa, wao wameamua kuajiri bata laki moja na kuwapeleka eneo la tukio wapambane na nzige.

Watu husema China haijawahi kuishiwa mawazo mapya, hii imedhihirisha wazi maana hakuna ambae angefikiri kitu kama hicho na cha gharama ndogo sana.

Nilisikia wizara ya hapa kwetu inasema wameandaa ndege 2 na madawa kadhaa kukabiliana na nzige iwapo wataingia Tanzania, wachukue wazo la China, kusanya kuku na bata laki 2 wapeleke huko kwenye nzige, siku 3 tu nzige wote wameisha.

Wataalamu wanasema hii njia ya China ni rahisi, rafiki kwa mazingira na hufanya kazi vizuri zaidi kuliko madawa ya kunyunyuzia. Mwaka 2018 China ilitumia mbinu hii hii kukabiliana na mabilioni ya nzige na matokeo yake yalikua mazuri sana.


[
Duck troops' gather at the border to face locust swarms

As 400 billion locusts approach China from the India-Pakistan border, 100,000 "duck troops" are gathering to prepare for the potential emergency.
 
Wakati Kenya ikitumiia mabilioni ya shilingi kununua sumu ya kupulizia nzige na kukodi ndege kadhaa, wenzetu China wana wazo lingine kabisa, wao wameamua kuajiri bata laki moja na kuwapeleka eneo la tukio wapambane na nzige.

Watu husema China haijawahi kuishiwa mawazo mapya, hii imedhihirisha wazi maana hakuna ambae angefikiri kitu kama hicho na cha gharama ndogo sana.

Nilisikia wizara ya hapa kwetu inasema wameandaa ndege 2 na madawa kadhaa kukabiliana na nzige iwapo wataingia Tanzania, wachukue wazo la China, kusanya kuku na bata laki 2 wapeleke huko kwenye nzige, siku 3 tu nzige wote wameisha.

Wataalamu wanasema hii njia ya China ni rahisi, rafiki kwa mazingira na hufanya kazi vizuri zaidi kuliko madawa ya kunyunyuzia. Mwaka 2018 China ilitumia mbinu hii hii kukabiliana na mabilioni ya nzige na matokeo yake yalikua mazuri sana.

Biological control, very easy
 
Sasa mzee
Si wanakijiji watawaiba wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati Kenya ikitumiia mabilioni ya shilingi kununua sumu ya kupulizia nzige na kukodi ndege kadhaa, wenzetu China wana wazo lingine kabisa, wao wameamua kuajiri bata laki moja na kuwapeleka eneo la tukio wapambane na nzige.

Watu husema China haijawahi kuishiwa mawazo mapya, hii imedhihirisha wazi maana hakuna ambae angefikiri kitu kama hicho na cha gharama ndogo sana.

Nilisikia wizara ya hapa kwetu inasema wameandaa ndege 2 na madawa kadhaa kukabiliana na nzige iwapo wataingia Tanzania, wachukue wazo la China, kusanya kuku na bata laki 2 wapeleke huko kwenye nzige, siku 3 tu nzige wote wameisha.

Wataalamu wanasema hii njia ya China ni rahisi, rafiki kwa mazingira na hufanya kazi vizuri zaidi kuliko madawa ya kunyunyuzia. Mwaka 2018 China ilitumia mbinu hii hii kukabiliana na mabilioni ya nzige na matokeo yake yalikua mazuri sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesema wanaajiri bata, hivyo bata wakimaliza kazi watalipwa mshahara? 😀😀😀
mshahara kwa mwenye bata. Mshahara wa bata hapo ni nzige.

Nadhani kuna swala la tafsiri halipo sahihi hapo. To employ inaweza maanisha kuwatumikisha bata ktk mapambano dhidi ya nzige au vipi?
 
mshahara kwa mwenye bata. Mshahara wa bata hapo ni nzige.

Nadhani kuna swala la tafsiri halipo sahihi hapo. To employ inaweza maanisha kuwatumikisha bata ktk mapambano dhidi ya nzige au vipi?
Hapo nimekupata mkuu.
 
Dah! Ati jeshi la Bata😂😂 hivi kulikuwa hakuna kiswahili chengine cha kutumia isipokuwa hichi Cha kuchekesha..?
Hivi nzige si kama senene tu sasa nashauri kama wakija huku kwetu tutawaachia wahaya, haiwezekani sisi wengine tuingilie ugomvi usiotuhusu wakati wahusika wapo.
 
Back
Top Bottom