Mapambano dhidi ya nzige: China yaandaa jeshi la bata laki moja (100,000) kukabiliana na nzige Bilioni 4

Mapambano dhidi ya nzige: China yaandaa jeshi la bata laki moja (100,000) kukabiliana na nzige Bilioni 4

Watoe tamko kwamba Nzige wanaongeza nguvu za kiume.. baada ya week wafanyabiashara wakubwa watakuwa wanabeba makontena ya nzige na kupeleka Dar.. Baada ya mwezi mmoja nzige watakua bidhaa adimu ambayo inatafutwa na watu wataanza kufuga nzige..
 
Mkuu umesema wanaajiri bata, hivyo bata wakimaliza kazi watalipwa mshahara? 😀😀😀
Suala la kupambana na magonjwa majanga, ujasusi wenzetu wanatumia kila kinachowezekana, wanaweza kutumia ndege kama mwewe, kunguru kufanya upelelezi hata Ikulu ya nchi nyie mtaona kama ni ndege wanazurura lakini siyo hivyo
 
😆😆😆😆 China ni noma sana, huku bata wakiwa wanakula na wao watakuwa wanawakaanga hao nzige.
 
Dah! Ati jeshi la Bata😂😂 hivi kulikuwa hakuna kiswahili chengine cha kutumia isipokuwa hichi Cha kuchekesha..?
Hivi nzige si kama senene tu sasa nashauri kama wakija huku kwetu tutawaachia wahaya, haiwezekani sisi wengine tuingilie ugomvi usiotuhusu wakati wahusika wapo.
Mkuu sasa waiteje wakati ni jeshi. Kuna majeshi ya kila namna
 
Back
Top Bottom