Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Ivi tunashindwa kusema kuwa rushwa inatokana na ujinga (ignorance)? kama wewe hujui sheria, polisi hataacha kukusimanga? Kama wewe hujui matumizi ya pesa za umma, wabunge, BOT, rais nk hawataacha kuziiba? Kama wewe hujui kodi katika biashara yako, TRA hawataacha kukusimanga?
Mkapa alikuwa na motto ya 'Ukweli na Uwazi', lakini sidhani kama aliweza kuitimiza. Tukiweza kuondoa ujinga, tutaweza kuishi ndani ya ukweli na uwazi hivyo kupunguza rushwa kwa asilimia kubwa. La kusikitisha hata baba wa taifa baada ya kutaja ujinga kuwa adui wetu, alitumia huo huo ujinga kututawala na hivyo kuuendeleza.
Mkapa alikuwa na motto ya 'Ukweli na Uwazi', lakini sidhani kama aliweza kuitimiza. Tukiweza kuondoa ujinga, tutaweza kuishi ndani ya ukweli na uwazi hivyo kupunguza rushwa kwa asilimia kubwa. La kusikitisha hata baba wa taifa baada ya kutaja ujinga kuwa adui wetu, alitumia huo huo ujinga kututawala na hivyo kuuendeleza.