Mapambano ya korona: TEC yatangaza kusitisha matumizi ya kwaya kanisani

Serikali inasita kabisa kuzuia ibada zote makanisani na misikitini,sijui shida ninini, Vatican washasitisha na hadi huko Macca, sijui shida iko wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuabudu ni swala binafsi uko huru kusali au kutosali.Ukiona wewe ukienda kusali utapata corona usiende

Serikali inahusikaje na kitu ulicho na Uhuru nacho .Kuabudu hiari huendi kwa amri ya serikali no hiari yako Pima mwenyewe uende au usiende sio issue ya serikali
 
Misa bila nyimbo zilikuwepo tangu kabla ya Vatican II, wakati tukisali Kilatini. Kulikuwa na Misa mbili: ya kwanza haina kuimba na ifuatayo yenye kuimba. Sala ni zilezile katika Misa zote mbili. Tofauti ni kwamba katika Misa ya kwanza sala zinasaliwa tu ambapo wakati wa Misa ya Pili sala hizo hizo zinaimbwa badala ya kusaliwa tu. Kwa mfano Kyrie, Gloria, Kanuni ya Imani, Mtakatifu na Mwana Kondoo. 'Shangilio' peke yake liliweza kuchukua hata dakika tano likiimbwa wakati likisaliwa tu linachukua chini ya dakika moja. Hii inasababisha Misa ya pili kuchukua muda zaidi ya mara mbili ya ule wa Misa ya kwanza. Hata siku hizi Misa ya Jumapili ndiyo inakuwa na kuimba kwingi wakati Misa ya katikati ya wiki haina kuimba kwingi na inachukua muda mfupi tu. Kwa hiyo kusema kwamba tusali bila kuimba siyo jambo geni. Lilikuwa likitokea na linaendelea kutokea hadi sasa. Inachoagiza TEC ni kwamba kusiwepo kuimba ili kufipisha muda. Hakuna cha ajabu hapo. Nimekuwa nikifuatilia Misa za katikati ya wiki kwenye Youtube ambazo zinaendeshwa na Papa mwenyewe huko Vatican tangu wiki Takatifu, kwa kuwa imekatazwa watu kwenda kanisani nchini Italia. Misa inachukua nusu saa tu badala ya saa mbili ambazo ingechukua kama kungekuwepo na kuimba. Usipotoshe kwa kusema Misa bila kuimba ni maigizo na kumpangia Mungu namna ya kumuabudu.
 
Mkuu sio katekisimu ni badala ya kusoma biblia wao husoma PAMBAZUKO KUU!
Hapa ndipo walikopotezwa na kumridhia yule mwanamke kahaba mzinzi-Yezebeli kwa kumpa jina HELLEN G WHITE!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Hellen G. White unayemsema mimi simfahamu.

Amueni KUOKOKA na kumpa Yesu maisha yenu na someni Biblia Takatifu, acheni kupotezwa kizembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona barua ni ya kuomba maoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…