Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 286
- 544
Daah! Usingizi bhana, Mm sikuelewa Basi, maana nilisikia Kama katangazwa Dulla, nikasonya. Mwakinyo naona alikuwa anamfagilia Sana Dulla.
Pole sana mkuu..Daah! Usingizi bhana, Mm sikuelewa Basi, maana nilisikia Kama katangazwa Dulla, nikasonya. Mwakinyo naona alikuwa anamfagilia Sana Dulla.
Mwakinyo aliingia na matokeo yke, hata hivyo mwakinyo hajawah mkubali twaha kiduku, ndio maana jana mara aseme'' oooh mm ningekuwa judge ningeweka sare'' Wakat dullah mwenyewe amekiri kwl amepigwa na atajipanga next fight