Ni ujinga mtupu mwaikinyo juzi sikumuangalia kwasababu nilishindwa kuuvumilia ujinga huu..
Na Jana kidogo nilale bila kuwaona akina kiduku..yaani nachukia Sana..yaani wanapigana Tanzania alafu tukeshe kuwasubili.. next time..pambano likifika saa nne kamili usiku halijaanza nalala siwezi kuvumilia ujinga na ushamba!