Estimate hazikuwepo, kulikuwa na speculation na innumeracy.estimates nazo zinakupa shida pia?
Naona bado hujaelewa kabisaEstimate hazikuwepo, kulikuwa na speculation na innumeracy.
A lot of Tanzanians are illiterates and innumerates.
Mimi ndiye niliyeziweka estimates kusema it is improbable for about a third of Amazon renters to rent this video in a year.
Nimeuliza, Amazon ina wakodiji milioni 157, kwa mujibu wa data za hapa.
Sasa, unafikiri takriban kati ya kila wakodiji watatu, mmoja atakodi hiyo video?
Unaelewa Amazon kuna video ngapi?
Hiyo figure ya 100 million mnaipata wapi?
Au hizi ndiyo kama zile habari za ukulima wa Excel spreadsheet?
Mbona mnajipa umuhimu mkubwa sana ambao hamna?
Sijaelewa nini?Naona bado hujaelewa kabisa
🙏🙏🙏🙏Pongezi kwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Hakika amefanya jambo kubwa utadhani kakaa madarakani miaka 5!!
Wenye wivu na chuki sasa wana harisha kwa uchungu.
Pambana na hali yakoDuuh
Ivi CAG hahusiki na Join the chain ya CHADEMA?Pambana na hali yako
Muulize mama akoIvi CAG hahusiki na Join the chain ya CHADEMA?
Daah, mkuu unaifahamu kweli TZS 1.5T?Pesa kidogo sana hii kwa mwaka, ingekuwa kwa mwezi ningekubali kdg
We need to have the account opened and CAG must be given the power to monitor. Nchi ina mambo mengi sana na ni ngumu kweli kweliIko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda ashinde na njaa
😀😀😀CHADOMO na shule wapi na wapi?estimates nazo zinakupa shida pia?
Yote haya yanawezekana,We need to have the account opened and CAG must be given the power to monitor. Nchi ina mambo mengi sana na ni ngumu kweli kweli
ni ndogo sana,Kabla ya kuleta faida za kufikirika,tuambieni kwanza gharama za Hangaya kukaa Marekani pamoja na timu yake ni kiasi gani mpaka sasa
Hii umeutoa wapi?Amazon ni msambazaji,kwa kawaida Hollywood 65% ni ya mwenye movie,yaani mtunzi/creator
Hii ni bonge la dili ever,At least nimeona kuna faida kwenye mauzo maana bila ya hivyo watu waliishia kulaumu tuu, kumbe subira humvuta heri na sasa upepo ume change hatuulizi kwanini wametoa pesa kurecord Royal Tour bali the issue ni hiyo pesa ya mauzo inaenda wapi?
Kwa mlio shauri hili nawapongeza sana na kwa wale mliokuwa skeptical pia nawapongeza at last mmepata majibu ya skeptism yenu.
Ndivyo ilivyo,pekua tuHii umeutoa wapi?
Mayai hayajaanguliwa tayari umeshaanza hesabu za vifaraga, kuku watakaokuja kutaga mayai, na pesa utakayopata baada ya kuyauza hayo mayai na pia utakazopata baada ya kuwauza hao kuku wakishaacha kutaga mayai. Je, wazifahamu ndoto za Alinacha?Iko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105