Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Estimate hazikuwepo, kulikuwa na speculation na innumeracy.

A lot of Tanzanians are illiterates and innumerates.

Mimi ndiye niliyeziweka estimates kusema it is improbable for about a third of Amazon renters to rent this video in a year.

Nimeuliza, Amazon ina wakodiji milioni 157, kwa mujibu wa data za hapa.

Sasa, unafikiri takriban kati ya kila wakodiji watatu, mmoja atakodi hiyo video?

Unaelewa Amazon kuna video ngapi?

Hiyo figure ya 100 million mnaipata wapi?

Au hizi ndiyo kama zile habari za ukulima wa Excel spreadsheet?

Mbona mnajipa umuhimu mkubwa sana ambao hamna?
Daaah
 
Ahsante sana kwa kutuhabarisha Nitanunua leo niitazame niliingizie Taifa letu pesa, Hongera sana Mama Samia kwa ubunifu ulio makini!
 
Mayai hayajaanguliwa tayari umeshaanza hesabu za vifaraga, kuku watakaokuja kutaga mayai, na pesa utakayopata baada ya kuyauza hayo mayai na pia utakazopata baada ya kuwauza hao kuku wakishaacha kutaga mayai. Je, wazifahamu ndoto za Alinacha?
😀😀Nimecheka kwa sauti
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Acha kuleta hesabu za makaratasi kama za kilimo cha tikiti
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Kwenye matikiti pia tunalimishana hivi.

Unasema tumeigharamia wakati Msigwa kashasema hela ya Filamu sio yetu, ni msaada.

Hata hivyo ukweli utajulikana muda ukifika
 
Kwenye matikiti pia tunalimishana hivi.

Unasema tumeigharamia wakati Msigwa kashasema hela ya Filamu sio yetu, ni msaada.

Hata hivyo ukweli utajulikana muda ukifika
Soma vizuri sasa, rudia tena
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Unataka hesabu gani sasa?
Hizo hesabu unazopiga ww ni dhahania kama ya kwenye biashara ya kwamba nikifungua biashara hii katika katika kila watu 1000 watakaopita 20 watanunua, kumbee unakuta wananunua watu wanne tu. Nilidhan unaleta mapato yaliyotengenezwa kumbe unaleta mfano wa hesabu za kuzidisha. Hiyo ni kama biasharA either imake loss or profit
 
Hizo hesabu unazopiga ww ni dhahania kama ya kwenye biashara ya kwamba nikifungua biashara hii katika katika kila watu 1000 watakaopita 20 watanunua, kumbee unakuta wananunua watu wanne tu. Nilidhan unaleta mapato yaliyotengenezwa kumbe unaleta mfano wa hesabu za kuzidisha. Hiyo ni kama biasharA either imake loss or profit
Sasa uhalisia ni nini?
 
Next time tumwalike yule jamaa wa ze godi mastI be crazy, akimbie uchi tutauza mno
 
Wazungu wanapenda adventure hii muvi na jotty angeshiriki ingekuwa poa,
 
Wakazi wa Arusha ni viunga vyake hii si ya kukosa, 🙏🙏
 
Back
Top Bottom