CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
DaaahEstimate hazikuwepo, kulikuwa na speculation na innumeracy.
A lot of Tanzanians are illiterates and innumerates.
Mimi ndiye niliyeziweka estimates kusema it is improbable for about a third of Amazon renters to rent this video in a year.
Nimeuliza, Amazon ina wakodiji milioni 157, kwa mujibu wa data za hapa.
Sasa, unafikiri takriban kati ya kila wakodiji watatu, mmoja atakodi hiyo video?
Unaelewa Amazon kuna video ngapi?
Hiyo figure ya 100 million mnaipata wapi?
Au hizi ndiyo kama zile habari za ukulima wa Excel spreadsheet?
Mbona mnajipa umuhimu mkubwa sana ambao hamna?
Changia tujue mawazo yako mkuu.Daaah
Daaah, Kazi kweli kweli, Uzalendo nchi hii ni wakutafuta kwa darubini,Ndivyo ilivyo,pekua tu
Counting chickens before they are hatchedMama Samia ni mtu wa mipango Sana ....
Hakika ni zawadi kwetu watanzania 🙏
😀😀Nimecheka kwa sautiMayai hayajaanguliwa tayari umeshaanza hesabu za vifaraga, kuku watakaokuja kutaga mayai, na pesa utakayopata baada ya kuyauza hayo mayai na pia utakazopata baada ya kuwauza hao kuku wakishaacha kutaga mayai. Je, wazifahamu ndoto za Alinacha?
Lipo chatoAisee,aliyewaroga AMEKUFA,NA KABURI LAKE HALIONEKANI
Acha kuleta hesabu za makaratasi kama za kilimo cha tikitiIko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105
😀😀😀Unataka hesabu gani sasa?Acha kuleta hesabu za makaratasi kama za kilimo cha tikiti
Kwenye matikiti pia tunalimishana hivi.Iko hivi,
Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%
Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.
Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.
Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?
Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.
Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.
Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.
Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.
Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.
Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.
Hii ni sawa na kusema
Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.
Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.
Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.
Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.
Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.
Wenye masikio na wasikie haya,
View attachment 2195022
View attachment 2195105
Soma vizuri sasa, rudia tenaKwenye matikiti pia tunalimishana hivi.
Unasema tumeigharamia wakati Msigwa kashasema hela ya Filamu sio yetu, ni msaada.
Hata hivyo ukweli utajulikana muda ukifika
Hizo hesabu unazopiga ww ni dhahania kama ya kwenye biashara ya kwamba nikifungua biashara hii katika katika kila watu 1000 watakaopita 20 watanunua, kumbee unakuta wananunua watu wanne tu. Nilidhan unaleta mapato yaliyotengenezwa kumbe unaleta mfano wa hesabu za kuzidisha. Hiyo ni kama biasharA either imake loss or profit[emoji3][emoji3][emoji3]Unataka hesabu gani sasa?
You're absolutely right. In Swahili we call this "Ndoto za Alinacha". When he woke up he found that he had kicked the egg container that he was carrying and all the eggs were broken.Counting chickens before they are hatched
Sasa uhalisia ni nini?Hizo hesabu unazopiga ww ni dhahania kama ya kwenye biashara ya kwamba nikifungua biashara hii katika katika kila watu 1000 watakaopita 20 watanunua, kumbee unakuta wananunua watu wanne tu. Nilidhan unaleta mapato yaliyotengenezwa kumbe unaleta mfano wa hesabu za kuzidisha. Hiyo ni kama biasharA either imake loss or profit
Yule alishakufa mkuu,Next time tumwalike yule jamaa wa ze godi mastI be crazy, akimbie uchi tutauza mno
Are sure?Yule alishakufa mkuu,
Are sure?Yule alishakufa mkuu,