Hakuna mambo na ratio. Sisi tulikuwa tumechapwa na Shababi saa hii ndio tunarecover. Tumerudi kuchukua position yetu ya nambari one. Nyinyi mlikuwa mnashikilia hio nafasi kwa muda tu.The ratio is 1:3 therefore the revenues in Tanzania will hit 3× Kshs 119 bln! Mark my words!
Hata kabla hamjawahi kuwa na mapato zaidi yetu! Pretty sure tourism revenues is above $2.5 bln mark!Hakuna mambo na ratio. Sisi tulikuwa tumechapwa na Shababi saa hii ndio tunarecover. Tumerudi kuchukua position yetu ya nambari one. Nyinyi mlikuwa mnashikilia hio nafasi kwa muda tu.
Year on Year (October, 2018) ni 2.4 bln$ kwa Tanzania.(BOT, MER Nov/2018)Hakuna mambo na ratio. Sisi tulikuwa tumechapwa na Shababi saa hii ndio tunarecover. Tumerudi kuchukua position yetu ya nambari one. Nyinyi mlikuwa mnashikilia hio nafasi kwa muda tu.
Unasema ni kama kupigia ng'ombe guitar enh? Barabara kabisa, nimenawa mikono.
Yaani despite the challenges of political temperatures, the alleged terrorism and travel advisories etc we still managed to record a surge in tourist numbers. Testament to the resolve of our nation. It can only be forward from here on.
Mimi kwanza pale kwenye local tourism ndio nimefurahia sana.
Mathare is there for you nyanyangu, vipi ile safari yako mbona kimya?
Hakuna mambo na ratio. Sisi tulikuwa tumechapwa na Shababi saa hii ndio tunarecover. Tumerudi kuchukua position yetu ya nambari one. Nyinyi mlikuwa mnashikilia hio nafasi kwa muda tu.
Good for youYear on Year (October, 2018) ni 2.4 bln$ kwa Tanzania.(BOT, MER Nov/2018)
What is your opinion about Kenya growing at 6% in 2018 Kobello?Year on Year (October, 2018) ni 2.4 bln$ kwa Tanzania.(BOT, MER Nov/2018)
Maoni yako ni gani kuhusu uchumi wa Kenya kupanuka kwa kiwango cha 6% in 2018 Geza?Hata kabla hamjawahi kuwa na mapato zaidi yetu! Pretty sure tourism revenues is above $2.5 bln mark!
Maoni yako ni gani kuhusu uchumi wa Kenya kupanuka kwa kiwango cha 6% in 2018 Joto la jiwe?Mlichobaki nacho ni makelele ya pengo kuongezeka wakati hali halisi nchi inazidi kufilisika, madeni yanaongezeka, budget deficit inaongezeka, inflation is the highest, wananchi wanazidi kukamuliwa kwa kodi hadi mnasema punda amechoka.
mnalazimika kupitia upya katiba kwa matumaini ya kupunguza mzigo, exports zinaongezeka na imports zinapungua, IMF inanyenyua bendera nyekundu, Moody inawashusha daraja katika viwango vya kuaminika kupewa mikopo ambayo kwa sasa ndiyo inayoendesha uchumi wa Kenya, endeleeni kushikilia gap kuongezeka wakati hamtuwezi kwa lolote zaidi ya kiingereza na ukabila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ujumla ni kitu kizuri kwa Kenya, ila kumbuka kwamba hiyo ni robo tatu moja tu kati ya nne, inategemeana na robo tatu zingine ili kupata wastani ambao ndio utakua ni ukuaji wa uchumi wa mwaka mzima, katika hiyo robo tatu ambayo Kenya uchumi umekua kwa 6%, Rwanda umekua kwa 10%, lakini wanategemea uchumi wa Rwanda kukua kwa 7% mwaka 2018 kwa ujumla.Maoni yako ni gani kuhusu uchumi wa Kenya kupanuka kwa kiwango cha 6% in 2018 Joto la jiwe?
You borrowed almost 8bn$ in 2018, and raised your GDP by 6%. That means, you borrowed 10% of your GDP just to raise it up by 6%.What is your opinion about Kenya growing at 6% in 2018 Kobello?
How you can compare the borrowing vis a vis economic growth for both countries is really puzzling.You borrowed almost 8bn$ in 2018, and raised your GDP by 6%. That means, you borrowed 10% of your GDP just to raise it up by 6%.
Tanzania borrowed 2bn$ in 2018 and raised her GDP by 7%. Meaning, we borrowed 4% of our GDP and raised it by 7%.
I think you guys are lazy, if not stupid. Stop borrowing, and use your brains and muscles to build your Nation.
Hii ndio habar nilikua nataka kuiskia ...Bado hampo serious kwenye utalii...watalii 2m mnakosaje mapato ya $5bln
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikubali kwanza,lakin mjitizame sana watalii hao wamekuja kufanya nn kama pesa ndio izoHehehe! Nyie mna vivutio bora kuliko nchi zote Africa yote, yaani kwanza kwenu ni muungano wa nchi mbili, moja ikiwa kisiwa cha utalii mtupu lakini kwa watalii 1.3m huwa mnachezea $2b, leo hii unadiriki kutushangaa badala mjihurumie kwanza.....full uzembe.
Nikubali kwanza,lakin mjitizame sana watalii hao wamekuja kufanya nn kama pesa ndio izo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia mchumi, nafahamu haya mambo sana. Hio 6% ni ya 3rd quarter.1st quarter tulikuwa kwa kiwango cha 5.7%, 2nd quarter tukawa kwa 6.3%. Kwa hivyo for 3 quarters tumepata average growth rate ya (5.7% + 6.3% + 6.0%)/3 = 6.0 %.Kwa ujumla ni kitu kizuri kwa Kenya, ila kumbuka kwamba hiyo ni robo tatu moja tu kati ya nne, inategemeana na robo tatu zingine ili kupata wastani ambao ndio utakua ni ukuaji wa uchumi wa mwaka mzima, katika hiyo robo tatu ambayo Kenya uchumi umekua kwa 6%, Rwanda umekua kwa 10%, lakini wanategemea uchumi wa Rwanda kukua kwa 7% mwaka 2018 kwa ujumla.
Kama ambavyo David Ndii anavyosema kila Mara, Uchumi wa Kenya upo very "Volatile" kutokana na makosa yaliyofanywa na waanzilishi wa Taifa la Kenya. Walipaswa kuanza kujenga misingi imara ya nchi ili kuweka mazingira mazuri ya Uchumi endelevu. Nchi haiwezi kuwa endekevi kama hakuna Umoja na mshikamano wa kitaifa"(Social cohesion), Umoja, upendo na Amani, haki na Usawa, vikiwepo hivi ndio vinazalisha UTU.
Nyerere alitumia muda mrefu sana kujenga misingi imara ya Tanzania, aliamini kwamba, bila kujenga Taifa lenye kujali UTU zaidi kuliko kujali KITU, haitowezekana kujenga Uchumi endekevu. Hili linajidhihirisha sana huko Kenya, huu ukuaji wa uchumi wa Kenya sio endelevu kwasababu kila baada ya miaka mitano lazima unashuka kutokana na athari za uchaguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app