Mapato ya utalii Kenya yaongezeka kwa asilimia 31.2%

Mapato ya utalii Kenya yaongezeka kwa asilimia 31.2%

Mlichobaki nacho ni makelele ya pengo kuongezeka wakati hali halisi nchi inazidi kufilisika, madeni yanaongezeka, budget deficit inaongezeka, inflation is the highest, wananchi wan.azidi kukamuliwa kwa kodi hadi mnasema punda amechoka.

mnalazimika kupitia upya katiba kwa matumaini ya kupunguza mzigo, exports zinaongezeka na imports zinapungua, IMF inanyenyua bendera nyekundu, Moody inawashusha daraja katika viwango vya kuaminika kupewa mikopo ambayo kwa sasa ndiyo inayoendesha uchumi wa Kenya, endeleeni kushikilia gap kuongezeka wakati hamtuwezi kwa lolote zaidi ya kiingereza na ukabila.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa unataka exports zipungie alafu tuzidi ku-import zaidi? Kilaza ni kilaza tu hata apewe access ya internet.
 
Hahahahaha, hamuwezi kuwa na exports nyingi zaidi ya imports ninyi, mumebaki kusubiri makosa ya uandishi ili kupata points, mumeishiwa nyang'au ninyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unajikanganya mkuu ama ni kwa ile hali yako ya kupinga kila kitu unajipata hujielewi? Hivi nyinyi import zenu nyingi kuliko exports ama nimedanganya? Tena hebu niambie kama ni Kweli drimulaina inasafirisha nyama from Arusha to Mwanza 😀😀
 
How you can compare the borrowing vis a vis economic growth for both countries is really puzzling.

You don't seem to understand that your economy is relatively small compared to ours. Therefore a growth of 7% for a 50B USD economy (TZ) can never be compared with that of 6% for a 88B USD economy, notwithstanding the borrowing.

BTW by the end of 2018 the Kenyan economy was estimated to be around 89.54B USD, with a little variance between IMF estimates and KNBS estimates.
That's why I used percentages. I know I'll confuse (puzzle) people like you.
Unfortunately you were not the target.
 
Mbona unajikanganya mkuu ama ni kwa ile hali yako ya kupinga kila kitu unajipata hujielewi? Hivi nyinyi import zenu nyingi kuliko exports ama nimedanganya? Tena hebu niambie kama ni Kweli drimulaina inasafirisha nyama from Arusha to Mwanza 😀😀
Wewe akili yako ni ndogo sio rahisi kujua mambo makubwa kama haya, fuatilia kitu kinachoitwa balance of trade kati ya Kenya na Tanzania, wakati deficit ya Tanzania inazidi kupungua, Kenya gap linazidi kuwa kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya .How can your deficit decline while your exports were fewer than that of Kenya in 2018? Kenya exports increased in the last [emoji286] .so did remittances
Ninarudia tena, wewe huna akili ya kuchangia mada kubwa kama hizi, ngoja nikupe shule kidogo, tunaposema balance of trade ya nchi, hatulinganishi na nchi nyengine, tunaangalia nchi hiyo hiyo moja kwamba imeuza kiasi gani nje ya nchi na imanunua kiasi gani toka nje ya nchi(exports - imports).

Kenya Exports zenu ni around $5.5B, wakati imports zenu ni $14B, wakati Tanzania Exports ni $5B na imports ni $11B. Tafadhali Sana kabla hujachangia, uwe unajielimisha na basics za mada husika, tutachoka kukuelimisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe akili yako ni ndogo sio rahisi kujua mambo makubwa kama haya, fuatilia kitu kinachoitwa balance of trade kati ya Kenya na Tanzania, wakati deficit ya Tanzania inazidi kupungua, Kenya gap linazidi kuwa kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Please anytime you are coughing make sure you block your ingress, don't spit what's not needed here. I know hata hujui chenye umesema, wewe bora mdomo umepanuka alafu sauti itoke and that's all.So according to this data, tell me which country is doing worse economic wise.
downloadfile%20(3).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Please anytime you are coughing make sure you block your ingress, don't spit what's not needed here. I know hata hujui chenye umesema, wewe bora mdomo umepanuka alafu sauti itoke and that's all.So according to this data, tell me which country is doing worse economic wise.View attachment 989678

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi si exports to Uganda au ..unataka kusema kwa mwaka nyie mna export USD 628mil alfu Tz USD 46mil ..wakati sisi exports zetu to SaDC Zimefika USD 450mil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Members wa UK royal family nao walikua kule Lamu (next to Somalia)

Lakini kinachofanyika zaidi ni hao Local tourists! Wakenya tuzidi kutembea nchi yetu na Ku enjoy tulichobarikiwa nacho
 
Political temperature inasababishwa na nini kama sio upumbavu wenu na ujinga wenu wa kuendekeza ukabila?, terrorism imesababishwa na nini kama sio akili zenu mbovu zinazosababisha maamuzi mabaya na ya kijinga ya kupeleka majeshi yenu dhahifu Somalia wakati mnajua hamna ubavu wa kupigana?, wajinga sana ninyi, kazi kulialia tu, Mara hatuna vivutio vingi, mara hatuna Mali asili, ninyi si mligundua mafuta ambayo sisi hatuna, je hayo mafuta hadi Leo yamewasaidiaje?, tutaendelea kuwakimbiza kila pembe na mkijaribu kuja huku tunawanyanyasa kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Sisi ni wajinga na wapumbavu na wasio na mpango ...na mnajaribu kukimbizana na Sisi Kwa kila sector ... Sasa nyinyi mnaokimbiza wajinga,wapumbavu....si ni pumbu limbukeni kabisa!
Licha ya hayo mliyoyataja yote, bado Kenya iko mbele yenu! Kumaanisha nyinyi ni mazube kabisa!!!! Yani hakuna tofauti kama Tz yote ingekua ni manyani yansishi, mwanzo hata GDP ya Tz ingekua kubwa kama ingekua ni manyani!
L
 
Kafrican of late Wakenya wamegundua kutembea sehemu mbali mbali Kenya during the weekends, holidays na pia kutazama michezo mbali mbali kama vile Sevens na kadanda haswa juu ya good infrastracture kama vile Marsabit na Moyale .
 
Kafrican of late Wakenya wamegundua kutembea sehemu mbali mbali Kenya during the weekends, holidays na pia kutazama michezo mbali mbali kama vile Sevens na kadanda haswa juu ya good infrastracture kama vile Marsabit na Moyale .
Kuna watu wengi sikuhizi wanabook SGR Friday kwenda Mombasa na kujivinjari na hukaa haswa Kwa BnBs alafu wanarudi Sunday mpaka imesababisha KRA iongeze sgr coaches kila weekend ..... Infrastructure imesaidia Sana, I hope Ile resort city ya Katikati ya lake turkana pia itajengwa na pia kuna Ile ya Isiolo Hilo eneo la north ni unexplored kabisa....
 
Back
Top Bottom