financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Habari ya weekend wakuu!
Husikeni na tangazo hapo juu, Mapazia 6 used kidogo yanauzwa 4 ni rangi ya maroon 2 meupe yanafaa kuwekwa sitting room au bedroom nk. Huwa yanawekwa Mapazia 3 dirisha 1 hivo 6 yatafaa kwa madirisha 2, bei yake jumla ni 100,000/= dukani huuzwa sh 30k hadi 35k kwa kila pazia.
Mahali ni Dar es salaam na ntakufikishia bure, ila hata mikoani naweza kukutumia ukilipia gharama ya usafiri. Karibuni sana wakuu, karibu pm pia kwa maelezo zaidi.
Ahsanteni 👏
Husikeni na tangazo hapo juu, Mapazia 6 used kidogo yanauzwa 4 ni rangi ya maroon 2 meupe yanafaa kuwekwa sitting room au bedroom nk. Huwa yanawekwa Mapazia 3 dirisha 1 hivo 6 yatafaa kwa madirisha 2, bei yake jumla ni 100,000/= dukani huuzwa sh 30k hadi 35k kwa kila pazia.
Mahali ni Dar es salaam na ntakufikishia bure, ila hata mikoani naweza kukutumia ukilipia gharama ya usafiri. Karibuni sana wakuu, karibu pm pia kwa maelezo zaidi.
Ahsanteni 👏