financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #21
Yaani kama hayuko interested si apite kimya tu 😏Ila kuna watu wakuda duniani [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kama hayuko interested si apite kimya tu 😏Ila kuna watu wakuda duniani [emoji23][emoji23]
Ahsante mkuu!ila hapana kama utaweza naomba uyanunue tu hayo mapazia, mkopo mmh🤔mie naweza kukukopesha hiyo Laki Moja usiuze mapazia,njoo PM
Nipe location mkuu! It's free delivery kwa DarNiletee hapa gheto aisee niyachukue
Nipo riversideNipe location mkuu! It's free delivery kwa Dar
Ok sawaNipo riverside
Karibu sasa uyanunue mkuuAhsante kwa taarifa...
Habari ya weekend wakuu!
Husikeni na tangazo hapo juu, Mapazia 6 used kidogo yanauzwa 4 ni rangi ya maroon 2 meupe yanafaa kuwekwa sitting room au bedroom nk. Huwa yanawekwa Mapazia 3 dirisha 1 hivo 6 yatafaa kwa madirisha 2, bei yake jumla ni 100,000/= dukani huuzwa sh 30k hadi 35k kwa kila pazia.
Mahali ni Dar es salaam na ntakufikishia bure, ila hata mikoani naweza kukutumia ukilipia gharama ya usafiri. Karibuni sana wakuu, karibu pm pia kwa maelezo zaidi.
Ahsanteni 👏
View attachment 1794020
View attachment 1794021
View attachment 1794023
Aah au niyableech rangi ya njano 😀 acha utimu Mkuu chukua mapazia hayo hutojutiaa ni mazuri na mapya badoYangekuwa kijani au njano ningeyachukua Mimi Yanga
Yanapatikana dear Ila ni hadi dukani, mimi hayo ni mapazia yangu nayauza, sina stock
Hahaa kubet hapana kabisa, nna shida nyingine tuUache hela ya vicoba kubetia.[emoji23]
Anaongea kwa kutumia nini tenaaa? Dah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Una duka nikeletee uyauze? Nimekwambia ni mapazia used unasema nipeleke dukani, duka gani? Mbona kama unaongea kwa kutumia mbususu na si mdomo wewe[emoji57][emoji57]
Kuna watu wanaudhi sana😀Anaongea kwa kutumia nini tenaaa? Dah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweliKuna watu wanaudhi sana😀
Yameshauzwa mkuu👏bado yapo?