financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Asante kwa taarifa, nikajua unayo mengiYanapatikana dear Ila ni hadi dukani, mimi hayo ni mapazia yangu nayauza, sina stock
Duka lipi mjini wanauza mapazia mazuri ya miti yale ya mita moja na nusu kwa bei rahisi ya wanyonge ?Yanapatikana dear Ila ni hadi dukani, mimi hayo ni mapazia yangu nayauza, sina stock
Thank you dear, karibuuMazuri.
Thank you Wit!😍
Yangekuwa ya madirisha mnne haki ningeyachukua, ni mazuri sana na bei ni reasonable.Thank you dear, karibuu
Kama upo dar, jaribu ufike kariakoo kuna maduka mengi yenye kila aina na bei tofauti mkuu, kama haupo dar niambie tuone tunafanyajeDuka lipi mjini wanauza mapazia mazuri ya miti yale ya mita moja na nusu kwa bei rahisi ya wanyonge ?
Aisee 😒 haya ni ya kibachela zaidi watu tuna single room🤔Yangekuwa ya madirisha mnne haki ningeyachukua, ni mazuri sana na bei ni reasonable.
Muungishe sasa
Ila kuna watu wakuda duniani [emoji23][emoji23]Sasa siupeleke dukani yakauzwe 30k?
Nipo tundumaKama upo dar, jaribu ufike kariakoo kuna maduka mengi yenye kila aina na bei tofauti mkuu, kama haupo dar niambie tuone tunafanyaje
Una duka nikeletee uyauze? Nimekwambia ni mapazia used unasema nipeleke dukani, duka gani? Mbona kama unaongea kwa kutumia mbususu na si mdomo wewe😏😏Sasa siupeleke dukani yakauzwe 30k?
Thank you! Karibukwako pazuri