Mapendekezo kutatua tatizo la Dollar Tanzania

Mapendekezo kutatua tatizo la Dollar Tanzania

Hapo ni 4 na, 5 tu, viwanda vingi vianziashwe, tatizo, ccm ni majambszi Sana, mwendazake na wapambe zake, Jafo na wemgine walitupigia makelele vyerehani vitatu ni kiwanda!

Wakasema upuuzi, mwingi Sana, laiti wangekuwa serious!

Badala ya kununua ma v8, wangejenga kiwanda kimoja tu cha kilimo,
Ukraine IPO Ulaya, na vitani lakini inauza ngano dunia nzima, sie tunashindwa nini kulima na kuuza mahindi,mchele, ngano Afrika nzima? Tanzania ilikuwa haihitaji Ikulu, kwanini hatukujenga ma ghala ya nafaka kama Yale ya Ukraine ya ngano, ghala kubwa kuanzia Morocco mpaka Africana,

Au, kahama mpaka masumbwe
Elimu bora
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
Dhahabu unazo ila ununua. Hiyo migodi waliyobinafsisha ina faida gani?
Tanzania ingekuwa ina chimba dhahabu yenyewe na kuuza, dollar zingekuwa nje nje
Hivyo hivyo kwa gesi ya Mtwara, Almasi, na Tanzanite.
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
[emoji122][emoji122][emoji122] mifumo kubadili pesa now ni migumu
 
1) Tuzalishe zaidi na tuuze nje
2) Tupunguze kununua nje hata vitu vinavyoweza tengenezwa nchini
3) Elimu itolewe watu wapende vitu vya Tanzania.
4) Makampuni ya huduma ya nje yafanyayo kazi hapa nchini yawe na account za dollar hapa hapa na yalipiwe kwenye account hizo.
5) Kuwe na uratibu wa makini wa namna ya kuanzisha na kutekeleza miradi inayotegemea materials toka nje ya nchi. Miradi hii isianzishwe kiholela.
6) Kuanzishwe matumizi ya sarafu ya nchi husika kule tunakonunua vitu kwa wingi. Kama Rupiah = India, Yuan=China, n.k. badala ya matumizi ya dollar.
 
lazima tupate viongozi wenye maono na uwezo wa kuongoza.Kiongozi wa nchi kusema tutafute Mchawi kwa nini Asia wanaendelea kuliko sisi it means juu tumepwaya sana......gap ya import na export inazidi kutanuka sana na itaendelea kutanuka na uwezo wetu wa kucontrol ni mdogo sana.
 
Wawatafute manguli wa Forex kama 100 HV
Kila mmoja wampe mtaji wa Dolla 100000 wapambane
Ndani ya mwezi hatukosi 10M USD,mdogo mdogo tunaongeza reserve yetu
 
Hiyo ya utalii na dhahabu zimekaa poa ongezea na mazao ambayo nchi inaweza kuyauza nje ni vema serikal ikaongeza nguvu kusapot wazawa mfano ngozi,pemba korosho nk,kuhusu madini serikali kupitia bunge watunge sheria rasilimali zote za nchi ziuzwe nchini wanunuzi waje wanunulie uku sio unachimba madini unajaza kwny ndege yanaenda kuuzwa nje wewe unabaki kusema hatuna tunachouza nje while mwenzako mwarabu anauza mafuta kwa dola wewe unashindwa nn kwny madin?
 
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania

1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla hawajaja kutalii na pesa karibu zote zinabaki kwenye bank za nje

2. EAC tuharakishe kuwa na pesa moja hii itaongeza nguvu ya hii pesa mpya. Lakini itapunguza sana utumiaji wa dollar

3. Bank ya Tanzania itumie pesa kununua dhahabu ambayo ni nyingi Tanzania. Hii itakuwa rahisi kama tunahitaji dollar zaidi kununua.

4. Tanzania tunatakiwa kuongeza (1) Utengenezaji wa vitu nchini (2) Kuongeza uuzaji wa bidhaa nje ya nchi

5. Tanzania raisisheni utaratibu wa Diaspora kuja na dollar. Kwasasa utaratibu wa passport copy sijui, vitambulisho ili mtu aweze kubadilisha dollar zake unasababisha watu watumie sendwave, world permit na Apps za kutuma pesa na diaspora hawaji na pesa tena kwasababu ya usumbufu wa kubadilisha pesa.
Mawazo bado ni ya bure kwa viongozi wetu badala ya kushinda kudanganya watu kuhusu Dollar
 
Back
Top Bottom