haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Najua imezoeleka kua namba ya huduma kwa wateja ni 100, ila napendkeza kila mtandao uwe na namba tofauti mbali na miamoja ambayo mtu anaweza kupiga akitumia namba ya mtandao wowote.
Sababu ni kua kuna wakati unajikuta unadharura, mfano laini ya simu imefingwa, uko mbalina ofisi na karibu yako hakuna mtu anatumia laini hiyo, au uko peke yako eneo flan, hii itasaidia kueapata mtandao husika kwa namba hiyo nyingine, hata kama itakua inachaji hela ila dharura zipo,
Na namba hiyo ni bora isiwe na matangazo, mtu akipiga iende moja kwa moja kwa watoa huduma sio blabla nyingi. Naomba kuwasilisha
Sababu ni kua kuna wakati unajikuta unadharura, mfano laini ya simu imefingwa, uko mbalina ofisi na karibu yako hakuna mtu anatumia laini hiyo, au uko peke yako eneo flan, hii itasaidia kueapata mtandao husika kwa namba hiyo nyingine, hata kama itakua inachaji hela ila dharura zipo,
Na namba hiyo ni bora isiwe na matangazo, mtu akipiga iende moja kwa moja kwa watoa huduma sio blabla nyingi. Naomba kuwasilisha