MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
Kuanzia roundabout ya Uhuru hizo shule zote napendekaza ziondolewe zitafutiwe eneo lingine lipishe wamachinga walioratibiwa.
Kiwanda cha bia hakina sababu ya kukaa katikati ya jiji, kiamishwe kipishe wafanyabiashara.
Maeneo hayo yajengwe majengo simple ya kisasa yenye vizimba vya kimkakati ambapo wamachinga watawekwa na kuchangia kiasi rafiki.
Pia Kariakoo bado inamahekari ya maeneo yaliyowazi kuliko wengi wanavyofikiri. Tuiongezee kariakoo yote floor moja juu. Biashara zote zinafanyika chini.
Napendekeza kama lilivyojengwa daraja kubwa la treni juu zitengenezwe njia na mitaa rafiki hata kwa chuma ili watu wawe wanapandisha juu na kuendelea na biashara kwa juu. Mitaa hiyo iunganishwe na floor za juu za magorofa ambayo maduka yaliyolala yataamka. Vile vyumba vilivyogeuzwa stoo vitakuwa maduka. Lakini katika mitaa ya juu inaweza kutengenezwa vizimba maelfu kwa ajili ya wamachinga pia.
Tusifikilie kutengeneza matatizo, tufikilie kuyatatua kwa maumivu rafiki.
unadhani nini kifanyike. Karibu kwa maoni yako na wewe.
NOTE: Rais wa Singapore mzee Lee Kuan Yew aliwahi kuhamisha ikulu mjini ili kupisha wafanyabiashara, kuhamisha kiwanda na shule ili kuongeza mapato na kuwahudumua vijana wanaomaliza vyuo bila hatia ni baraka kwa taifa.
Kiwanda cha bia hakina sababu ya kukaa katikati ya jiji, kiamishwe kipishe wafanyabiashara.
Maeneo hayo yajengwe majengo simple ya kisasa yenye vizimba vya kimkakati ambapo wamachinga watawekwa na kuchangia kiasi rafiki.
Pia Kariakoo bado inamahekari ya maeneo yaliyowazi kuliko wengi wanavyofikiri. Tuiongezee kariakoo yote floor moja juu. Biashara zote zinafanyika chini.
Napendekeza kama lilivyojengwa daraja kubwa la treni juu zitengenezwe njia na mitaa rafiki hata kwa chuma ili watu wawe wanapandisha juu na kuendelea na biashara kwa juu. Mitaa hiyo iunganishwe na floor za juu za magorofa ambayo maduka yaliyolala yataamka. Vile vyumba vilivyogeuzwa stoo vitakuwa maduka. Lakini katika mitaa ya juu inaweza kutengenezwa vizimba maelfu kwa ajili ya wamachinga pia.
Tusifikilie kutengeneza matatizo, tufikilie kuyatatua kwa maumivu rafiki.
unadhani nini kifanyike. Karibu kwa maoni yako na wewe.
NOTE: Rais wa Singapore mzee Lee Kuan Yew aliwahi kuhamisha ikulu mjini ili kupisha wafanyabiashara, kuhamisha kiwanda na shule ili kuongeza mapato na kuwahudumua vijana wanaomaliza vyuo bila hatia ni baraka kwa taifa.