residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Watanzania si wa kufanya shopping "maghorofani".Mimi naona toka kituo Cha Polisi Msimbazi mpaka sokoni Kariakoo nyumba kuukuu za NHC zivunjwe pajengwe mall hata floor sita wamachinga wapewe vizimba..kwa Sasa waachiwe kwa muda mpaka mradi ukamilike
Tutengeneze malls kama Mlimani City.
Shoppers wa Tanzania hawapendi kupanda ghorofani.