Mapendekezo Utaratibu wa vituo vya Mabasi kutoka Dar

Mapendekezo Utaratibu wa vituo vya Mabasi kutoka Dar

kisinja

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
241
Reaction score
295
Kutokana na Kukua kwa Jiji la Dar. Ni muhimu kwa Serikali kufikiria namna ya kuwa na Stendi za kisasa za kwenda Mikoani katika Kila Manispaa ya Mkoa wa DSM.

Kama tulivyo na Ofisi za Ki-Mkoa za DAWASA, JESHI LA POLISI, TANESCO, TRA nk.

Ni wakati sasa kuwa na stendi ya Mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Kinondoni, Ilala, Kigamboni, Temeke nk. Kwa dhana ile ile ya kuhudumia wananchi.
 
Kutokana na Kukua kwa Jiji la Dar. Ni muhimu kwa Serikali kufikiria namna ya kuwa na Stendi za kisasa za kwenda Mikoani katika Kila Manispaa ya Mkoa wa DSM.

Kama tulivyo na Ofisi za Ki-Mkoa za DAWASA, JESHI LA POLISI, TANESCO, TRA nk.

Ni wakati sasa kuwa na stendi ya Mikoani katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Kinondoni, Ilala, Kigamboni, Temeke nk. Kwa dhana ile ile ya kuhudumia wananchi.
Stendi ya Magufuli inatosha sana.
Mwishowe mtaomba Viwanja vya ndege vijengwe kila wilaya.

Stendi ya Kimataifa kwa Mkoa wa DSM ni MAGUFULI BUS TERMINAL.
 
Back
Top Bottom