Naomba kuwaletea baadhi ya vipengele ambavyo CCM wametoa mapendekezo yao kwenye tume ya Warioba ...makubwa yaliyopo ni kuhakikisha kuwa status quo inaendelea kuwepo kama hali ya sasa kuanzia kwenye Muungano na madaraka ya Rais .
katika kifungu 25(2)...wao wanasema kuwa kusafirisha binadamu sio kosa kisheria , hivyo lisping we maarufuku na katiba
kifungu, 62 Znz iruhusiwe kujiunga na Jumuiya za Kimataifa kama UN, FIFA .nk , kuwa ni ili kupungua kero za Muungano, ila hawataki Tanganyika iwepo
kifungu, 69 (4) kinachohusiana Rais kujinasibisha na chama chake wanasema kifutwe kwani mara nyingi Marais huwa ndio wenyeviti wa Chama .......
Kifungu, 93(2), idadi ya Mawaziri wanasema iwe 20 .......
kifungu, 94(2), kinachokatwa mgombea urais walau awe na shahada ya kwanza , wanasema kifutwe kwani sio lazima kuwa na elimu ili uwe Rais boboar kifungu,
kifungu 107 , kinachotoa fursa kwa Bunge kuithinisha mikataba mikubwa kuhusu rasilimali za taifa , wanasema kifutwe kwani hilo sio jukumu la Bunge bali la Serikali....
kifungu, 105 , wanasema wabunge wa Muungano wawe 360 na kwa suala wa 50/50 wanaume na wanawake ......where on Earth ........
kifungu, 106 (2), wabunge waendelee kulipwa mishahara hata baada ya Bunge kuvunja na kulipwa vinu a mhongo vyao .....eti mpaka Bunge jipya lipatikane......
kifungu, 122(1)(d) ...kuhusu mtu kukosa sifa ya kuendelea kuwa mbunge endpoint amepangiwa na matatizo ya akili , wanasema kifutwe kwani huo ni ugonjwa kama mwingine.
Kifungu 124, wananchi wasiwe na haki ya kuwawajibisha wabunge , hivyo kifutwe na kisiwepo
kifungu, 133(1) ,katibu wa Bunge aendelee kuteuliwa na Rais na sio kamisheni ya Bunge.....eti awe huru katika utendaji na kama atateuliwa na kamisheni ya Bunge hata kuwa huru , .....mbona Rais anateua katibu mkuu kiongozi .....kwanini huyo wanaona atakuwa huru?
Vifungu vya 224-229-234 , uteuzi wa wakuu wa vyombo vya usalama wateuliwe na Rais kama ilivyo leo.
kuhusu Muungano.
wanataka Muungano wa Serikali mbili na hoja zao ni kama ifuatavyo;
1. Kisheria , kwa kuwa hati za Muungano zimekuwa rejea ya rasimu
2. Serikali 3 zitakuwa na utata katika kusimamia na kuendesha Uchumi n hivyo kuleta mgongano
3. Tanganyika itachangia zaidi kuendesha serikali tatu kutokana na uchumi wake na hivyo kuivuruga Zanzibar .....vipi kuhusu serikali mbili........
4. Jamii imepanga na sana kwa kuoleana na kuishi pamoja .......so
haya ndio sehemu ya mapendekezo ya CCM yalivyowasilishwa na Asha Rose Migiro Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuhusu rasmu ya katiba .
katika kifungu 25(2)...wao wanasema kuwa kusafirisha binadamu sio kosa kisheria , hivyo lisping we maarufuku na katiba
kifungu, 62 Znz iruhusiwe kujiunga na Jumuiya za Kimataifa kama UN, FIFA .nk , kuwa ni ili kupungua kero za Muungano, ila hawataki Tanganyika iwepo
kifungu, 69 (4) kinachohusiana Rais kujinasibisha na chama chake wanasema kifutwe kwani mara nyingi Marais huwa ndio wenyeviti wa Chama .......
Kifungu, 93(2), idadi ya Mawaziri wanasema iwe 20 .......
kifungu, 94(2), kinachokatwa mgombea urais walau awe na shahada ya kwanza , wanasema kifutwe kwani sio lazima kuwa na elimu ili uwe Rais boboar kifungu,
kifungu 107 , kinachotoa fursa kwa Bunge kuithinisha mikataba mikubwa kuhusu rasilimali za taifa , wanasema kifutwe kwani hilo sio jukumu la Bunge bali la Serikali....
kifungu, 105 , wanasema wabunge wa Muungano wawe 360 na kwa suala wa 50/50 wanaume na wanawake ......where on Earth ........
kifungu, 106 (2), wabunge waendelee kulipwa mishahara hata baada ya Bunge kuvunja na kulipwa vinu a mhongo vyao .....eti mpaka Bunge jipya lipatikane......
kifungu, 122(1)(d) ...kuhusu mtu kukosa sifa ya kuendelea kuwa mbunge endpoint amepangiwa na matatizo ya akili , wanasema kifutwe kwani huo ni ugonjwa kama mwingine.
Kifungu 124, wananchi wasiwe na haki ya kuwawajibisha wabunge , hivyo kifutwe na kisiwepo
kifungu, 133(1) ,katibu wa Bunge aendelee kuteuliwa na Rais na sio kamisheni ya Bunge.....eti awe huru katika utendaji na kama atateuliwa na kamisheni ya Bunge hata kuwa huru , .....mbona Rais anateua katibu mkuu kiongozi .....kwanini huyo wanaona atakuwa huru?
Vifungu vya 224-229-234 , uteuzi wa wakuu wa vyombo vya usalama wateuliwe na Rais kama ilivyo leo.
kuhusu Muungano.
wanataka Muungano wa Serikali mbili na hoja zao ni kama ifuatavyo;
1. Kisheria , kwa kuwa hati za Muungano zimekuwa rejea ya rasimu
2. Serikali 3 zitakuwa na utata katika kusimamia na kuendesha Uchumi n hivyo kuleta mgongano
3. Tanganyika itachangia zaidi kuendesha serikali tatu kutokana na uchumi wake na hivyo kuivuruga Zanzibar .....vipi kuhusu serikali mbili........
4. Jamii imepanga na sana kwa kuoleana na kuishi pamoja .......so
haya ndio sehemu ya mapendekezo ya CCM yalivyowasilishwa na Asha Rose Migiro Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuhusu rasmu ya katiba .