Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Wengine hawatunukiki😅wapo wapo tuuMtuvumilie Tu Hamna Namna Huwa Tunasubiri Kutunukiwa Kama Ngekewa 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine hawatunukiki😅wapo wapo tuuMtuvumilie Tu Hamna Namna Huwa Tunasubiri Kutunukiwa Kama Ngekewa 😀
Hahaha halafu hawa wanakuja kutukausha uzazi tu kumbe!!!😂😂😂😂😂😂hata mapadri wenyewe na masista wana "morning glory" sembuse sie...hawana lolote nguvu za viganja tuu...
Na kukera pia..na si rahisi kuwakumbuka watu wa hivi,.hawasisimui hata kidogo aiseee
Hakuna mtu wa namba hiii. Kama anajijua yupo hivi haweza omba mechi hata siku 1Aaaah wapiii...kuna wengine wanatia huruma mpaka unatamani umwombee,.maana hausimiki hausimami[emoji41]
Kuuza mbuzi kwenye gunia hasara yako hiyo, nimelia sana sahivi umenikumbusha jamaa angu aliuziwa pembe za ng'ombe akadanganywa za ndovu, nmelia hadi kwikwi
Wanatukausha placenta zetu tuu...mfyuuuHahaha halafu hawa wanakuja kutukausha uzazi tu kumbe!!!
Maza achana na mada za vijana wewe umeshazeeka please!Wengine hawatunukiki[emoji28]wapo wapo tuu
Bila shaka mpwa.....utakuwa captain wa timu yetu ya taifaKombe litakuja asubuhi kabla jogoo hajawika
Ng’ombe hazeeki maini....Maza achana na mada za vijana wewe umeshazeeka please!
Hahaha we hujuiii kumbe....wanakubali hivyo hivyo ili kuondoa sooAaaaaahHakuna mtu wa namba hiii. Kama anajijua yupo hivi haweza omba mechi hata siku 1
[emoji23][emoji23][emoji23]nimeona aibu sana sana
Ndio maana siku hizi wanawake wanadai usawa....maana tofauti pekee wanayoiona ni suruali na magauni...tuNgoja ni mtaftie kungwi kutoka msanga la chole huyu anamfaaa sana
Kasi ya vijana imeshuka mkuu mpaka watumie kasongo
Mtuvumilie Tu Hamna Namna Huwa Tunasubiri Kutunukiwa Kama Ngekewa 😀
Aiseeeee kweli mm sijui. Kwanza nikiwa ivo hata mazoea na wasichana sitakiHahaha we hujuiii kumbe....wanakubali hivyo hivyo ili kuondoa soo
Oooh I miss you more, I miss you...Madam nje ya topic kidogo...nimekumic
Mwanangu em niache kidogo nikumbushie enzi..vijana siku hizi mnalalamikiwa sana,Me staki mwanangu wa pekee wa kiume uwe boyaboya...we mcheki faza ako,.nataka uwe vile,.ule mpaka kucha za miguuni😁😁Maza achana na mada za vijana wewe umeshazeeka please!
😂😂😂😂😂 unakimbia rada...Aiseeeee kweli mm sijui. Kwanza nikiwa ivo hata mazoea na wasichana sitaki