Mapenzi bila kufanya mapenzi hata hainogi....!!!

Mapenzi bila kufanya mapenzi hata hainogi....!!!

Kama una uwezo wa kumsaidia binti eitha pesa au kazi msaidie tu ,binti mwenyewe ndio atajua huyu mwanaume atakua sahihi kwangu au la! (Kama huyu binti hapa) Nilimcheka sana, nikasema endelea, yaani mtu atoe pesa zake tu, bila yakula papuchi???
 
nini wewe lakini mbona tunaamshana faru joni asubuhi hii[emoji16]
 
Uache ufilipino mambo ya kujifanya mnapeana cheni utotoni na ahadi kibao halafu mnakutana uzeeni na cheni zenu shingoni sio, unazibia watu msosi halafu nawe hauli ndo manini sasa?!!!
Kuna wasichana pia wana tabia hizo yaani mgumu kwenye kutoa game balaaa
 
Hafu wa hivyo ni ule unampenda sanaa eti unamvumbika tu unagonga kwingine

Bila kujali na yeye anatamani mwiaho akutane na msela amle kisela ndo kupotezewa bila kuambiwa kosa lako

Exactly, unaachwa bila kuagwa
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA.
Usipoomba si nakubaka tu.
Umepewa passport safiri aiseee!!.
Igonge muhuri mpk wakupe nyingine ujaladie!!

Safiri tu aiseeh!!
Tairi zima.
Mafuta full tank
Udereva unajua
Spea safiiiii
Niiiiini tens kimebaki?
Kanyaga twende babaaa!!
Teh dereva sijui anaogopa traffic hahahaha
 
Uache ufilipino mambo ya kujifanya mnapeana cheni utotoni na ahadi kibao halafu mnakutana uzeeni na cheni zenu shingoni sio, unazibia watu msosi halafu nawe hauli ndo manini sasa?!!!
This is not real practical Yale maigizo tu
 
Eti unakua na mpenzi ila hata hamueleweki wahindi si wahindi kuch kuch hotahe zisizoisha, wafilipino si wafilipino Cielo sio Angelo sio ila mpo tu mapenzini.
Kukicha ni meseji tu nakupenda nakupenda pia, nakumiss nakumiss pia, umeshindaje salama, usiku mwema nakupenda sa ndo manini??!

Mapenzi bila kufwanya hainogi hata, mnakua mmepoaa ni kama msosi usio na chumvi, ni kama mboga za majani bila kitunguu zinakua kama mitishamba tu, mapenzi yanakosa ladha kabisa, kufwanya kunaleta amsha amsha mapenzini panachangamka mioyo inafurukuta tu muda wote, mtu haufanyi unapoaa masikini hadi moyoni panapata vumbi.

Halafu mtu asieomba mi huwa simuelewi hata, enzi za ujana wangu nlishawahi kuwa na dizaini hii ya kifilipino anakuja ananibusu ananishika anasepa, muda wote ananicheki, akipiga simu nisipokee anamind yani ugomvi hasa, yanapita anakuja nawaza labda ataomba atanikiss atanishika anaaga, nikawaza huyu sijui ni katibu mwenezi wa chaputa!! Nami nlikua kama sista nikawa namcheki tu tuliendelea na ufilipino kama miaka miwili hivi tukapotezana.

Mapenzi ni purukushani kufwanya buana, mapenzi ni miti buana sio kushangaana shangaana tu tunakanyagiana waya na kumaliziana unit bureeee!!!!!!
Ha ha from Evelyn Salt Jamaa alikuwa bikra[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee mie siondoki humo ndani. Na kuning'ata aning'ate tu ila lazima kieleweke. Kuruhusiwa kwenda kwa mwanaume/mwanamke maanayake unajua nini kitatokea!
 
Eti unakua na mpenzi ila hata hamueleweki wahindi si wahindi kuch kuch hotahe zisizoisha, wafilipino si wafilipino Cielo sio Angelo sio ila mpo tu mapenzini.
Kukicha ni meseji tu nakupenda nakupenda pia, nakumiss nakumiss pia, umeshindaje salama, usiku mwema nakupenda sa ndo manini??!

Mapenzi bila kufwanya hainogi hata, mnakua mmepoaa ni kama msosi usio na chumvi, ni kama mboga za majani bila kitunguu zinakua kama mitishamba tu, mapenzi yanakosa ladha kabisa, kufwanya kunaleta amsha amsha mapenzini panachangamka mioyo inafurukuta tu muda wote, mtu haufanyi unapoaa masikini hadi moyoni panapata vumbi.

Halafu mtu asieomba mi huwa simuelewi hata, enzi za ujana wangu nlishawahi kuwa na dizaini hii ya kifilipino anakuja ananibusu ananishika anasepa, muda wote ananicheki, akipiga simu nisipokee anamind yani ugomvi hasa, yanapita anakuja nawaza labda ataomba atanikiss atanishika anaaga, nikawaza huyu sijui ni katibu mwenezi wa chaputa!! Nami nlikua kama sista nikawa namcheki tu tuliendelea na ufilipino kama miaka miwili hivi tukapotezana.

Mapenzi ni purukushani kufwanya buana, mapenzi ni miti buana sio kushangaana shangaana tu tunakanyagiana waya na kumaliziana unit bureeee!!!!!!
Sawa Sawa Salt usijali Kruse nipo. Mzee WA spiders. Haiwezekani kabisa. Ni Sawa na gari kwenda bila tyres
 
Ha ha from Evelyn Salt Jamaa alikuwa bikra[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee mie siondoki humo ndani. Na kuning'ata aning'ate tu ila lazima kieleweke. Kuruhusiwa kwenda kwa mwanaume/mwanamke maanayake unajua nini kitatokea!
Inawezekana alikua bikra, nitakuja kumcheki siku moja nimuulize hivi we we ulikuaga na shida gani.
 
Inawezekana alikua bikra, nitakuja kumcheki siku moja nimuulize hivi we we ulikuaga na shida gani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila ulitakiwa kusoma nyakati. Angalau profile yake ya nyuma afu ungejua jinsi ya kumsaidia!
 
kuna wahuni watakupinga! but you always right.
 
Back
Top Bottom