Kweli ila ni wanawake wachache sana wanaotambua hilo.Pesa inogeshe penzi lililosimama tayari, ila zisitumike kumvutia mwanamke awe na wewe
Nataka nijue ni kwamba wote wapo hivi au vip kuna rafiki yangu aliwahi kunambia mapenzi sio pesa na bla bla kibao na akatokea mfano mchumba wake kuwa anampenda japo hana pesa, hiyo ilikuwa 2020 , sasa nimekutana nae 2023 mwishoni kumuliza shemeji hajambo naona nae kubadilisha msimamo mapenz ni pesaPesa inogeshe penzi lililosimama tayari, ila zisitumike kumvutia mwanamke awe na wewe
Wanawake wamekaa kimasilahi sana ndio maana mwanetu Natafuta Ajira anawaita kausha damuKweli ila ni wanawake wachache sana wanaotambua hilo.
Hakika una hoja😀Tutafute hela
View attachment 2861299
HahahahahaWanawake wamekaa kimasilahi sana ndio mwanetu Loading failed anawaita kausha damu
Sio pesa tu, kuwajibika kwa mwanaume ndio msingi wa mahusiano au ndoa. Ukishindwa kufanya hicho ujue hayo si mahusiano tena. Mapenzi waachie wenye pesa usije kupata msongo wa mawazo kisa kitu ambacho ukijipata kitakutafuta chenyewe.Ndugu zangu wa kiume hivi ni kwangu mimi tu au na nyinyi inawakuta manaa dah nina mpenzi japo sina uhakika kama ni wangu kweli ila nisipompa pesa naona kabisa uchangamfu wake kwangu unapungua kabisa, hata simu kupiga haoigi anakuwa busy na sababu kibao na sio huyu tu ni demu wapili napata yupo hivi hivi bila pesa nakuwa sina tofauti na mtu aliye single😀
Sasa nawauliza ni huyu wangu au hata nyinyi mademu zenu ni hivyo hivyo?
Uwajibikaji ukiacha tendo iasilimia kubwa inaangukia kwenye pesa,maana kila kitu hapo lazima uwe na helaSio pesa tu, kuwajibika kwa mwanaume ndio msingi wa mahusiano au ndoa. Ukishindwa kufanya hicho ujue hayo si mahusiano tena. Mapenzi waachie wenye pesa usije kupata msongo wa mawazo kisa kitu ambacho ukijipata kitakutafuta chenyewe.
Nenda nayo yanavyokupeleka usijitoe sana mapenzi hayana shukrani na yanacost afya, muda na uchumi.Mungu awabariki wa aina hiyo aisee mapenz magumu sana hasa kwa sisi vijana tuanojitafuta
Kiingilio kinakunyima tiket ya kuwa na mpenzHakika una hoja😀
Hapo hakuna mapenziNataka nijue ni kwamba wote wapo hivi au vip kuna rafiki yangu aliwahi kunambia mapenzi sio pesa na bla bla kibao na akatokea mfano mchumba wake kuwa anampenda japo hana pesa, hiyo ilikuwa 2020 , sasa nimekutana nae 2023 mwishoni kumuliza shemeji hajambo naona nae kubadilisha msimamo mapenz ni pesa
Kiufupi kakimbiwa😀
ndio maana nzima ya uwajibikaji, mwanaume lazima uwe muwajibikaji kuanzia maisha yako binafsi hadi kwenye mahusiano. Nje na hapo unatafsiriwa kuwa unakwepa majukumu yako.Uwajibikaji ukiacha tendo iasilimia kubwa inaangukia kwenye pesa,maana kila kitu hapo lazima uwe na hela
Washamnyoosha lazima awaite hivyo ila kupigwa hela sometimes n maamuzi au ndio mapenzi upofu?Wanawake wamekaa kimasilahi sana ndio mwanetu Natafuta Ajira anawaita kausha damu