Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
NIPO NAISOMA HIYO NOVEL MDA HUU DUNIA UWANJA WA FUJOAlafu utamkuta mitandaoni anaponda wadada wanaojiuza kumbe hata yeye anajiuza kwa style tofauti. mimi binafsi ndio maana hupendelea kwenda straight kwenye point kwa kuuliza bei ya kuwa nae kwa usiku mmoja ama masaa kadhaa, baada ya hapo sihitaji mambo ya kuchat chat tena na kuulizana umekula nini, Dunia uwanja wa Fujo
Boss wewe hapo, mwenye hiyo nanilii hapo kati...Kabeeeeeesa boss!
Mwizi hapendi mtu kwanza ndio amuibie.. yoyote tu anakula panga anachojoa wallet mpunga unachotwa wote anatupiwa vitambulisho..Ina maana hawa wanaotuomba pesa karibia kila siku ni kwamba hatupendwi sio? Sasa kama mtu humpendi kwanini uchukue hela zake na kupoteza mda wake?
utapiga chini wangapiUkiona demu anatanguliza pesa, usipompa pesa ananuna au analeta sababu zisizo za msingi stuka ujue unachapiwa na masela huyo. Demu wa dizaini hiyo kuchapwa ni rahisi sana.
Piga chini.
Ukichunguza vizuri malalamiko ya sisi wanaume humu jf, ni sio kuwa hatupendi mtuombe hela, bali kuomba kwenu hela kunaambatana na ninyi kutokua na hisia na sisi, hivyo wanaume tunajihisi tunatapeliwa JoannahSijui kwa Nini nimesikia huzuni,nikikumbuka yule mpenzi A ambavyo namuonea,ni mabomu tuu,wakati mpenzi B yaani hata natamanigi nimnunulie mwezi nimpe ,sitaki hata kumi yake🙄🙄🙄
Sas chifu nguv za kiume huna uendlee kumuhonga ela yann uwe unamchungulia tu au??Mwanamke utulizwa kwa noti bora uishiwe nguvu za kiume na sio pesa