Mapenzi hayafai ikiwa ni mtu moja anajuhudi zaidi ya mwengine

Mapenzi hayafai ikiwa ni mtu moja anajuhudi zaidi ya mwengine

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
2,044
Reaction score
4,558
Hii mada ni complex kidogo. Hivi kama mapenzi ni kati ya watu wawili me na ke, how come kwenye jamii ionekane kama mwanaume ndo kampenda mwanamke? kuna utaratibu kwamba mwanaume ndo anatakiwa achumbie which is true manaume ndo anatakiwa a make first move....

ila hii ni kama vile tunawapa nguvu wanawake when it comes to giving and receiving love. Yaani kunakuwa hakuna usawa kwenye mahusiano nikimaanisha wanawake wamekua kama wanatumia hii scenario kujiona wao ndo kama wanathamani sana.

Sisemi kuwa wao sio wazuri or uzuri wao hauna manufaa, ni kweli wanawake lazima wavutie ili ku attract wanaume. Ila ukija kuangalia hili swala kiundani zaid utagundua hawa viumbe ndo chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika, because wanajiona kama wao na uzuri wao which by the way uzuri wa sura sio kigezo cha long lasting relationships! Wanatumia hicho kigezo ku fikiri na kuwamanipulate wanaume kuwa wao ni wathamani sana.

Point yangu ni kua, kama mwanamke anaishi kwenye jamii inayo mfanya ajione yeye ndo wa kupendwa na uzuri wake ndo prize inayo mfanya aishi mjini, unategemea kutakua na usawa kwenye mahusiano hasa ndoa? Ndo maana vijana wanalia KATAA NDOA NI MTEGO, na all drama tuzionazo kwenye ndoa sku hizi yote haya yamesababishwa moja wapo na hii dhana.

Mm naona kabla ya kuanzisha mahusiano na mtu hakikisha kuna upendo wa dhati kati yenu, isiwe mmoja ana weka upendo kumzidi mwenzie hii ina athari kubwa sana baadae.
 
Yaani kunakuwa hakuna usawa kwenye mahusiano nikimaanisha wanawake wamekua kama wanatumia hii scenario kujiona wao ndo kama wanathamani sana.
Hakunaga 50/50, hilo sahau.
Mm naona kabla ya kuanzisha mahusiano na mtu hakikisha kuna upendo wa dhati kati yenu, isiwe mmoja ana weka upendo kumzidi mwenzie hii ina athari kubwa sana baadae.
Unahakikishaje?
 
Hii mada ni complex kidogo. Hivi kama mapenzi ni kati ya watu wawili me na ke, how come kwenye jamii ionekane kama mwanaume ndo kampenda mwanamke? kuna utaratibu kwamba mwanaume ndo anatakiwa achumbie which is true manaume ndo anatakiwa a make first move....

ila hii ni kama vile tunawapa nguvu wanawake when it comes to giving and receiving love. Yaani kunakuwa hakuna usawa kwenye mahusiano nikimaanisha wanawake wamekua kama wanatumia hii scenario kujiona wao ndo kama wanathamani sana.

Sisemi kuwa wao sio wazuri or uzuri wao hauna manufaa, ni kweli wanawake lazima wavutie ili ku attract wanaume. Ila ukija kuangalia hili swala kiundani zaid utagundua hawa viumbe ndo chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika, because wanajiona kama wao na uzuri wao which by the way uzuri wa sura sio kigezo cha long lasting relationships! Wanatumia hicho kigezo ku fikiri na kuwamanipulate wanaume kuwa wao ni wathamani sana.

Point yangu ni kua, kama mwanamke anaishi kwenye jamii inayo mfanya ajione yeye ndo wa kupendwa na uzuri wake ndo prize inayo mfanya aishi mjini, unategemea kutakua na usawa kwenye mahusiano hasa ndoa? Ndo maana vijana wanalia KATAA NDOA NI MTEGO, na all drama tuzionazo kwenye ndoa sku hizi yote haya yamesababishwa moja wapo na hii dhana.

Mm naona kabla ya kuanzisha mahusiano na mtu hakikisha kuna upendo wa dhati kati yenu, isiwe mmoja ana weka upendo kumzidi mwenzie hii ina athari kubwa sana baadae.
Wanaume tumebebeshwa mzigo mzito sana! Sana.
 
Hakunaga 50/50, hilo sahau.
Simaanish hivyo mkuu ndo maana nikasema hii mada ni complex! 50/50 ni dhana ambayo watu wanaichukulia vibaya sana. Nilibase kwenye mahusiano na siyo majukumu.
 
Ndo ilivyo, wanaume ndo wanatafuta wanawake,

Halafu mwanamke anachagua mwanaume anayemfaa

Ndio uzuri(urembo) wao unawapa thamani

Mimi naamini binadamu ni wanyama, tunaishi kama wanyama wengine

Angalia mammals wengine wanavyoishi, madume na majike
 
Hii mada yako ni ngumu kidogo na wengi hawatakuelewa.

Binafsi kwangu hivi sasa ndio najua na kuiona raha ya kuwa na mtu mnayependana sana. Na niwe tu mkweli ni bahati ambayo humtokea mtu mara chache maishani.

Ukiwa na mtu mnayependana, kila hatua mnayopiga una amani.
Una uhakika anakupenda ?

Unawajua wanaume wewe ?
 
Miaka 10 ya kumfahamu nisiwe na uhakika? Nisimjue?

Anyways, nina uhakika.
Wanaume huwa hatupendi huwa tunatamani tu.

Unatamani tu uwepo wa mwanamke fulani katika maisho yako na tuna muda wetu wa kukinai na kutamani mwingine.

Hiyo kazi ya kupenda tumewaachia nyie wanawake.

Kaa kimaster tambua kuwa mwanaume hapendi anatamani na anakinai pia.
 
Wanaume huwa hatupendi huwa tunatamani tu.

Unatamani tu uwepo wa mwanamke fulani katika maisho yako na tuna muda wetu wa kukinai na kutamani mwingine.

Hiyo kazi ya kupenda tumewaachia nyie wanawake.

Kaa kimaster tambua kuwa mwanaume hapendi anatamani na anakinai pia.
Sawa
 
Miaka 10 ya kumfahamu nisiwe na uhakika? Nisimjue?

Anyways, nina uhakika.
Kingine unamfahamu vipi mtu mliejuana naye tu ukubwani ? Kaa kimaster wewe mwanamke usijenge imani kwa mtu kupitiliza
 
Nowadays I rarely comment on these love-type of topics.

But today I got time [cuz 😉]. So here are my two cents from a distance. Me, the unhuggable, unlovable, type of guy.

1. Shouts out to all the hopeless romantics out there. They are some endangered species. Especially in this ‘City Girl’ era mentality where finding true love [if there is actually such a thing] is akin to finding a needle in a haystack!

2. Love [in the romantic sense] is a phenomenon. No one has been able to fully figure out its dynamics. It’s different for everybody. What works for one doesn’t necessarily work for the other.

3. I’m all for people defining their own roles in a relationship. Screw the so called traditional gender roles where a man courts a woman. She plays hard to get but eventually gives in and they become an item.

And I don’t care who shoots their shot first. If you like somebody, let the person know. You can say something. Do something. There’s many ways you can use to let it be known to the person that you like. There is no need to shortchange yourself.

4. Once you are in the relationship, define your own roles. Do it your way.
If you, the man, love to cook, then be the cook. Cook for your woman. If you, the woman, think you are good at doing chores that are traditionally reserved for men in the house, and your man doesn’t feel emasculated by it, then go right ahead and handle your candle.

Sometimes you can decide to do things together [my preference]. Go grocery shopping together. Come home and cook together. Eat together. Clean together, etc,.

Alright, I think that’s enough game for now. Till next time, ✌️.
 
Back
Top Bottom