Mapenzi hayafai ikiwa ni mtu moja anajuhudi zaidi ya mwengine

You are right to some extent, but do you think it's appropriate for is to behave like animals, is there no other way? But also you talked about males being the ones to approach and attract females which is how things should be, but it seems like females are using their beauty to their advantage.

All in all your point is good, I appreciate how you view things on a bigger scale, it's true the society has corrupted how natural things should be. We are a confused generation.
 
Hakika mkuu hii ni psychological game ambayo wanaume wengi hawajaipata vizuri. Usiruhusu demu awe kwenye pedestal! Atakuendesha atakvyo.
 
I didn't mean precisely we should behave as animals but may be Nature could be a way to remind us how beautiful love could be, How A male lion ensure security for the family and how the female lion contributes in feeding the family. The basic concept here is me believing that.. Love should be something comes automatically and not something u have to force urself... lady force themselves with wealthy gents then what? Men force themselves with physical looks and constantly complaining... Is that love?
 
Hapo ndo umeanza kumake sense sasa!

Ishu ni akili zimevurugika, logic na man made ideas zimetuharibu sana na kutufanya ku second guess hizo primal instincts.

Love should be on both ends.
 
Surely that's not pure love, that's toxic love. And that's why people are not enjoying love and life coz they're against the current and natural rhythm of allowing love take the lead.
 
Hahaha why?
Maybe someday....
You do have great love insight, so prolly you have the voice, and the influence which good be a good peer pressure towards most youth ... you could be a solution to some people for the confused generation when it comes to Love
 
Yesu alikuwa na upendo wa dhati na Islael lakini wazee wa kazi wakamtia mikwaju
 
It's new tech, u could find the best way to embrace it. could be ur support tool
Nah I use AI to do stuff, but I can't use it in my conversations! It's like letting someone else speak for you.
 
Yesu alikuwa na upendo wa dhati na Islael lakini wazee wa kazi wakamtia mikwaju
Sio wote, Alikuwa anawaumini wake japo walimkana na kumsalti, kwa upendo waliokuwa nao walijutia. na ndio maana mpaka sasa tunamfahamu Messiah kwa sababu ya upendo wa waumini wake
 
You do have great love insight, so prolly you have the voice, and the influence which good be a good peer pressure towards most youth ... you could be a solution to some people for the confused generation when it comes to Love
Thanks I'll do something about it.
 
Sio wote, Alikuwa anawaumini wake japo walimkana na kumsalti, kwa upendo waliokuwa nao walijutia. na ndio maana mpaka sasa tunamfahamu Messiah kwa sababu ya upendo wa waumini wake
Nilijua utakuja tu mfia Dini
 
Hakika mkuu hii ni psychological game ambayo wanaume wengi hawajaipata vizuri. Usiruhusu demu awe kwenye pedestal! Atakuendesha atakvyo.
Najishangaa sana sijui kwa nini hawa mademu hawajawah kuniendesha... Mimi huwa natongoza mara moja tu, akikataa sawa naendelea na maisha yangu.

Sijawah endeshwa na hawa viumbe
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…