Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa mkuuMademu wa kenya wanapenda mchezo wetu kuliko mademu wa kibongo
Tanzania na Kenya ni nchi shemeji sio nchi rafiki, ngoja nijipange nije hapo Nairobi nitafute mtoto wa Kikenya niwe nammega
wakenya wazamani walikuwa weusi kweli sijui wa sikuizi wanakwama wapi?Tanzania na Kenya ni nchi shemeji sio nchi rafiki, ngoja nijipange nije hapo Nairobi nitafute mtoto wa Kikenya niwe nammega
Kwa hiyo huyo Lulu diva ndo mtoto mkare sio?Life is all about making your wallet heavy,
Imagine this dumb mp anachukua mtoto mkare,
Yaani hata ukiwa na akili kama za Jaguar Ukiwa na Pochi nene mademu watakwambia baby you are Genius like Sir. Abraham Linkoln
Life is all about making your wallet heavy,
Imagine this dumb mp anachukua mtoto mkare,
Yaani hata ukiwa na akili kama za Jaguar Ukiwa na Pochi nene mademu watakwambia baby you are Genius like Sir. Abraham Linkoln
Jamaa huyo atakulisha mpka ukafe..we muite "dumb" tu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo huyo Lulu diva ndo mtoto mkare sio?
Hehehe, hana uwezo wa kunilisha huyo kilaza, Halafu By then he is far old then me, My potentials makes me confident that at his age nitakuwa na pochi nene sana,
Hata sasa pochi yangu nene kiasi cha kupeleka demu mkate hoteli za nyota tatu na kutafuna huko siku kadhaa.
Yap, Kwa Jaguar huyu ni Mtoto mkare.
[emoji851][emoji851][emoji851]Usijaribu...
"...Sijawahi kukutana na msichana anayeitwa Wanjiku/Wanjira akawa mrembo..."
We waongelea elfu hamsini laki...anyway..kila mtu ywajiamini kivyake...
Bt hyo msee kiukwel yuko vizuri
Uzuri wa wanawake wa kenya hawana shida kuzaaa analea mwenyewe tu yeye anataka mbegu baasi sasa ukikanyaga mtz pale lazima udakwewahuku Kenya ni high maintenance. Tafta mali kwanza
Unaweza kula na kulala na Kutafuna mwanamke kwenye hoteli ya Nyota tatu na shilingi elfu hamsini? Hebu kuwa serious msee,
Halafu huyu Jaguar Hata kama ana pochi nene haiondoi dhana ya kuwa ni Yeye ni Nyumbu,
Mbona hata Mike Sonko ni Illiterate ila ana pesa
Wapo wengi kule Turkana na pande za Wajir huko tunafanya deals za buy one and get 2nd one free. Deal does not apply in Nairobi ,Mombasa ,Machakos,eneo lote mlima Kenya ,Nakuru ama Eldoret.Tanzania na Kenya ni nchi shemeji sio nchi rafiki, ngoja nijipange nije hapo Nairobi nitafute mtoto wa Kikenya niwe nammega
Mkuu umeanza mambo yako, kwahiyo unataka kusema domo hilo la Lulu Diva na kule ni kama hivi[emoji4]