Mapenzi hayamsaidii mwanaume kupata hela zaidi ya kutoa hela

Mapenzi hayamsaidii mwanaume kupata hela zaidi ya kutoa hela

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wengi tunatamani mahusiano tukiamini itakuwa njia pekee ya kutuliza nafsi pamoja na uchumi.

Mambo yamekuwa ni kinyume, na imekuwa ni karaha; kama huwezi kuhudumia kwa kutoa pesa, hapo migogoro lazima iwepo.

Wanaume wamefanywa chuma ulete au watumwa kwa kutumikishwa kuwatafutie hela au uhakika wa kula au wa kuishi kwa hawa warembo wetu.

Nashauri kwa kijana anayejipanga kimaisha, aachane na mapenzi kwa muda; kwa sababu mapenzi ni sehemu ya starehe, na starehe ni gharama.​
 
255622742560_status_84d322085300432eb5a6e5a2b159aa1b.jpg
 
Wengi tunatamani mahusiano tukiamini itakuwa njia pekee ya kutuliza nafsi pamoja na uchumi.

Mambo yamekuwa ni kinyume, na imekuwa ni karaha; kama huwezi kuhudumia kwa kutoa pesa, hapo migogoro lazima iwepo.

Wanaume wamefanywa chuma ulete au watumwa kwa kutumikishwa kuwatafutie hela au uhakika wa kula au wa kuishi kwa hawa warembo wetu.

Nashauri kwa kijana anayejipanga kimaisha, aachane na mapenzi kwa muda; kwa sababu mapenzi ni sehemu ya starehe, na starehe ni gharama.​
Nimepata kitu
 
Wengi tunatamani mahusiano tukiamini itakuwa njia pekee ya kutuliza nafsi pamoja na uchumi.

Mambo yamekuwa ni kinyume, na imekuwa ni karaha; kama huwezi kuhudumia kwa kutoa pesa, hapo migogoro lazima iwepo.

Wanaume wamefanywa chuma ulete au watumwa kwa kutumikishwa kuwatafutie hela au uhakika wa kula au wa kuishi kwa hawa warembo wetu.

Nashauri kwa kijana anayejipanga kimaisha, aachane na mapenzi kwa muda; kwa sababu mapenzi ni sehemu ya starehe, na starehe ni ghara​
Ni vzr uwe na mtu unanunua utam.
 
Wengi tunatamani mahusiano tukiamini itakuwa njia pekee ya kutuliza nafsi pamoja na uchumi.

Mambo yamekuwa ni kinyume, na imekuwa ni karaha; kama huwezi kuhudumia kwa kutoa pesa, hapo migogoro lazima iwepo.

Wanaume wamefanywa chuma ulete au watumwa kwa kutumikishwa kuwatafutie hela au uhakika wa kula au wa kuishi kwa hawa warembo wetu.

Nashauri kwa kijana anayejipanga kimaisha, aachane na mapenzi kwa muda; kwa sababu mapenzi ni sehemu ya starehe, na starehe ni gharama.​
Kijana mshauri aende Buguruni kuna service ya bei nafuu
 
Unatoka out na Mwanamke, mnatumia laki +,

Yeye muda huo ktk pochi hana hata hela ya bodaboda anakutegemea ww umlipie kila kitu mpka hiyo nauli ya alfu 5.

Then ndio kinara kuagiza vitu expensive ktk mtoko, atakula kama kiwavi jeshi.

Hana akili ya ziada yeye anawaza hapo tu kwenye kula na kurekodi chakula kama taahira.

Majinga sana ndio maana nimejiwekea principle zangu, Mwanamke ambae ni maskini + Mbinafsi kwangu hapana.
 
Back
Top Bottom