Mapenzi hayana baunsa

Wewe juzi juzi tu ulikua unajimwambafai hapa kulikoni tena!??? Tatizo mnapenda Mapenzi ya mwendokasi
 
Hivi vijana wa sasa tumekuaje?
Yaan tunawazidi hadi Wanawake kulialia aaaagh
Unalilia nini sasa hasa hua ni mbunye au ni nini? Duuh asee
Acha Ujinga kijana. Uzima ulionao ni Tunu kubwa.
Sawa mkuu
 
Ila kenzy siku hizi umekamatika kwenye mapenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ujanja wako wote
Huu ndo muda wa kuonyesha upendo wako achana na maswala ya ujanja kichwa cha uzi kimemaliza kabisa.
 
Na badoooo mpaka akili ziwakae


Nyie si majentomeno wa kila kitu

Nyiee si mna helaaaa eeehhhhhh

Sisi wenzio sio mabishoooo wala nn


Sisi hatuvai milegezo, macheni na masaa ya dhahabu



Wacha tuendelee kuishi
Unaweza kuona hiyo comment yangu ni fupii ila imebeba ujumbe mkubwa sana!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…