Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante lakini nawe pia pole na kifurushi chako cha mwaka mzima..😅Nakujua una roho ngumu huwezi kunywa sumu ukaacha vyote vizuri vya dunia hii sababu ya mtu mmoja bana! Utakua uzembe sana utapata mtu mwingine mzuri mwenye figure amazing hadi utashangaa🤔
umeona ulivo mkorofi? Haya😂Ahsante lakini nawe pia pole na kifurushi chako cha mwaka mzima..😅
[emoji23] pole mwaya, ukimpata mwingine usimtungie shairi kama lile, umeona sasa tembo ukilisifia mgema anavyolitia maji?Wana jf mmenishinda tabia![emoji26]
Bwana wee usifike mbali sie tukakosa kucheka kisa talaka...tuliza kichwa hicho mapenzi yapo tu..[emoji28]Ahsante, sahivi mashairi yanakuja ya tofauti lazima nitapigwa ban.
[emoji28][emoji28] unaanza kunisagia kunguni mbele za watuYa huku unayaona ila ya chumbani huyaoni! Sawa tu.
Mkuu bila walau picha ama video uzi huu hainogi!Haya ni maisha tu!,naapa ila ipo siku tu.
IMANIIMANI UPENDO MIUJIZA
Ndugu yetu Mayombi kimekupata nini?
[emoji23][emoji23] ungemchoma miba kabisa...Mi nimeitwa hadi nungunungu unajua inauma Sana!
Weeh usiniambieKama wewe ulivokamatika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]