Mapenzi hayana baunsa

Mapenzi hayana baunsa

Nikawaambiaga zamani..jamaan wanaume wengi mnakosea mnapoanza kumuapproach mwanamke , nikatumia muda wangu mwingi kuwapa hili Dude
[emoji116]
Jinsi ya kuvuta mwanamke bila shilingi...lengo haikua kuonyesha umasikin au ubahili, lengo ilikua ni namna ya jinsi gan ujipenyeze kichwan mwanamke na akupende bila hata kumuonyeshea una Pesaa ....wakaniambia...Dogoo tafuta helaaaaa helaaaaa helaaaaaa

Baada ya kumpata, nikawaletea Desa lingine, jinsi gani umfanye aamini yeye ndio furaha yako yaan maisha yake ya kihisia yanakutegemea weweeee ,nahapo hawezi kukuzengua ......wakasema dogooooooo helaaa helaaa helaaa [emoji116]Jinsi ya kumfanya mwanamke aone wewe ndiye chanzo pekee cha furaha yake

Baadae nikawambia, Mazeee Unaweza kuombwa hela na demu wako, ukawa huna kwa wakat huo, Usiwaze, usikimbilie kukopaa hela nakujipa madeni, pesa haijawah mtosha mwanamke, hivo fanya ivi.. [emoji116]
Anakuomba Hela mara kwa mara? Kiunzi hiki ukirukeje nabado aendelee kua wako?


Nikajua hapo Demu atanuna ila ndo hawezi kukuacha kisa hiko, nikawafundisha jinsi ya kumkojoza demu kitandani...wakasema dogoooo dogoooooo tafuta helaaa helaaa helaaaaa[emoji116]


Juzi nikawambia, jamaan eeehh furaha ya mwanamke inakutegemea weweeee,, mwanamke hata aweje awe mzur vipi, na elimu kubwaa, mali napesaa kukuzidi, jamaaaan eeehyy waliumbwa kwaajili yetu hawaaaaaa ,sisi ndo MaTOP wao ,..wakasemaaa dogoooooooo huwajui wanawake [emoji116][emoji116]


Kumbuka ,hapo katikati nkawa nawaambia, wasifieni wake zenu /wapenzi wenu....wakaniambiaaa tufanye hayo yote kisaaaaaaa nn[emoji116][emoji116]

Lkn hawajui, wanawake huponzwa kwa MASIKIO YAO[emoji23][emoji23][emoji23]


Leo wanaliaaa, wanaliaaaaaaa wanaliaaaaaa jamaaani yaaaan wanaliaaa, kukicha humu utasikia .nmetombewaaaa, kaniachaaaa, wanawake wamerogwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe unawacheka tu kama kawaida yako
 
Heri mnaonipa pole.. ahsante mkuu utaiona pepo mkuu.
Hichi kipindi huwa ni mpito kujifunza aheri ikukute kabla ya ndoa kuliko kuwa ndoani wallah, na hata wanaokudhihaki Iko siku itawakuta.
N. B usiumize wasio na hatia kisa wewe ulitendwa time heals everything
 
Hichi kipindi huwa ni mpito kujifunza aheri ikukute kabla ya ndoa kuliko kuwa ndoani wallah, na hata wanaokudhihaki Iko siku itawakuta.
N. B usiumize wasio na hatia kisa wewe ulitendwa time heals everything
Ahsante Sana mkuu..😥
 
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
shindwa pepo mchafu
Still niitwe nungunungu nawe uniite pepo mchafu!!😭
 
Ukisikia milio ya ajabu kama hii, jua kunamtu kashachezea za uso. Mwanangu ulikua na koloni moja tu? Afu utackia et MICHEPUKO CYO DILI BAKI NJIA KUU.
 
Mshaachana eeh?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sanaaa mkuu naww tafuta mnyonge umuumize chain iendelee
 
Bora useme watu wakupe ushauri maana kwa hali hiyo unatuacha hewani. Ila pole japo hatujajua kipi kimekupata.
 
Back
Top Bottom