Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Aliniahidi hatachelewa atarudi...ameenda kidogo nyumbani kusalimia wazazi...[emoji445][emoji445]Ameondoka aaa ameniacha hali yangu sio shwari...[emoji444][emoji444][emoji441][emoji441]
Yatawakuta tuAliniahidi hatachelewa atarudi...ameenda kidogo nyumbani kusalimia wazazi...[emoji445][emoji445]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndo imekuwa hivyo ndugu.Dah komamanga wako imekuwaje tena
😀😀 AhsanteAaaataaaaaarudiiii atarudi maaamaaa aaaataaaaaarudiiii anawaletea zawadi..[emoji443][emoji443][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji445][emoji444]
Kimeshaumana ndugu..Nyieeeee njooni muulize kilichomsibu mwenzenu
[emoji23][emoji23][emoji23]Aaaataaaaaarudiiii atarudi maaamaaa aaaataaaaaarudiiii anawaletea zawadi..[emoji443][emoji443][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji445][emoji444]
Kuimba kupokezana mkuu, hakunaga baunsa, unaweza kubahatisha ya kudumu hivyo usijali ni kwa muda tuYatawakuta tu
Mh samahani mkuu basi pole!Do you mean hayajanikuta..?
Unaelewa nimetendwa kiasi gani..?
Unajua maumivu ya mapenzi wewe..? Kuachwa pasikie tu