Mapenzi hayana komando

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
1,993
Reaction score
2,635
Kweli mapenzi hayana komando nimeamini.

Yaani mtoto wa 2000, tena ni mchepuko tuu ananipiga kofi kisa nimemuacha sehemu kumuwahi kumpokea wife, kwani alikua safarini.

Eti anasema simjali kwani hata kama ni wife si nitamkuta nyumbani tuu. Kweli mapenzi hayana komando mtoto wa 2000?
 
Umepagawishwa na mbususu hadi dogo anakupiga kibao, unatulia tuli... Haha Achana na ile kitu nanii! 🤣 🤣 🤣
 
kuna mtoto mmoja age 19 tulikuw room tunapiga story ghafla akanishika tako akasema baby tako lote ili unakula nini chips au kitimoto

aseeeee nilibadilika nikawa kama simba hasira kama zote ,nilimpa ngumi za kutosha badae akaniomba msamaha.
 
Imagine mzee wangu anatumiwa text na katoto cha buku mbili
"Nakuacha ujakua wewe"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…