Mapenzi hayana komando

Mapenzi hayana komando

kuna mtoto mmoja age 19 tulikuw room tunapiga story ghafla akanishika tako akasema baby tako lote ili unakula nini chips au kitimoto

aseeeee nilibadilika nikawa kama simba hasira kama zote ,nilimpa ngumi za kutosha badae akaniomba msamaha.
Safi kabisa....alafu ilitakiwa akupe game na wewe uyachape chape matako yake
 
Comments za humu lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiki kizazi cha kuanzia 2000 kipo moto sana, muda si mrefu nimepewa taarifa kuna mtoto wa ndugu yangu ni mjamzito kazaliwa 2003/2004.
 
Back
Top Bottom