Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Baada ya kumpa msaada mwenzenu nyie mnampa makavu mara oooh wewe muoga mara oooh wewe Timbulo muelekezen na mwenzenu
 
Baada ya kumpa msaada mwenzenu nyie mnampa makavu mara oooh wewe muoga mara oooh wewe Timbulo muelekezen na mwenzenu
 
habarini wanajamvi,jamani naombeni msaada jinsi ya kumtongoza mwanamke maana nimefika umri ambao ninahitaji mwenza wangu wa kuwa nami ila tatizo ninaogopa sana wacchana na cna hata confidence ya kuwaface na kuwaambia yangu ya moyoni,so naombeni msaada,2cchekani jamani,nimeweka shida yangu hii kwa kuamini kuwa nitasaidiwa.
Acha woga hawatakupiga kwanza wenyewe ndio wanapenda kutongozwa.
 
Kwani Kuna njia nyingine zaidi ya kuomba namba ya simu?
 
Wakuu habari zenu, kuna baadhi ya wanaume huwawia vigumu sana suala la kutongoza.Wakati kwa wengine tunaona kama hakuna kazi rahisi kama hiyo.Sasa katika uzi huu kama kuna demu umempenda na unawaza namna ya kumteka unashindwa msaada unaweza kuupata hapa.

Labda tu utueleze na mazingira gani alipo bar, party, ofisini njiani n.k. msaada utaupata hapa wakali wa hii burudani tupo.Utani hautakiwi. Utakula watoto hadi utajikataa.

Karibuni.
 
Mkuu hii ni dunia nyengine sasa, piga kazi utafute mawe, bila ya mawe usiende kwa yoyote eti nisaidie mbinu za kutongoza formula ya kutongoza kwa karne hii ni pesa tu hayo mengine ni kupoteza mda
 
Siku hizi mademu wa maneno tu umeng'oa ni adimu sana
 
Wakuu habari zenu, kuna baadhi ya wanaume huwawia vigumu sana suala la kutongoza.Wakati kwa wengine tunaona kama hakuna kazi rahisi kama hiyo.Sasa katika uzi huu kama kuna demu umempenda na unawaza namna ya kumteka unashindwa msaada unaweza kuupata hapa.

Labda tu utueleze na mazingira gani alipo bar, party, ofisini njiani n.k. msaada utaupata hapa wakali wa hii burudani tupo.Utani hautakiwi. Utakula watoto hadi utajikataa.

Karibuni.
Yaani unataka tukufundishe?
 
Hivi nikija kubahatika kupata mtoto wangu wa kwanza wakiume nikakuambia umtafutie jina utamuita nani!
akisha kujibu au akikuuliza unamaanisha nini?

-Ninampango wa kujakufunga ndoa na mtuyeyote aliyekaribu yangu kwa muda mrefu maana ntakuwa nishamchunguza
na amenikolea kwenye moyo wangu sitarudi nyuma kwa chochote kile juu yake.

Jaribu kumsoma kama maneno yako yana mfikirisha kichwa ikiwa yanamfikirisha mwambie hiyo habari muijue nyinyi tu
wawili asimwambie mtu yeyote yule kisha anza kumsoma hatua zake pindi uwapo karibu nae kama anahitaji awe yeye
utamjua tu.
cc. Bajeti ya kunguru
 
Back
Top Bottom