Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

ushabadili avatar tayari...asee

Mwallu usijali kuhusu avatar, jali kuhusu moyo wangu unavyowapenda ndugu zangu wa pande zote mbili!! nawapeeenda hasa wewe sis! Nimepewa assignment hapa ndio naiandaa kiswadakta kabisa...! dili la hela hili!
 
kwa hii list humtakii mema huyu dogo.

Amekuwa mlaini mno! nimeona nimmpitishe JKT kabla hajaanza hata la kwanza! akiweza kumsemesha Karucee ama mtoto mzuri King'asti Japo kwa nusu saa bila kung'ata neno, itakuwa poa sana!!!

Njoo mbiza.. anza kuwaki mbiza hawa warembo wa kitaa chetu!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe una gari na bado unashndwa? anza kutoa lifti then omba namba ya simu,next day muombe mtoke out,kama unakunywa piga kdogo kutoa uwoga then mwambie akichomoa usichoke.Uwongo nao uwe mwingi. Leta feedback
 
Excel mwambie ani PM plissss, mie uwa natoa darasa face to face na baada ya hapo ni mtihani kwa vitendo....

sasa naona darasa langu halitopata shida ya waalimu!!

kuanzia leo uzi ukija tu wa kutongoza.... naanza kuwaita waalimu wamfanyie interview mtuhumiwa moja kwa moja kutoka uzini!

waalimu wangu wa kike kuanzia leo watakuwa ni nameless girl, Evelyn Salt, ICHANA, Husninyo, DEMBA Karucee na wengineo watakaopenda kufanya kazi hii...

nakaribisha maombi ya ziada..!

NB! NAFASI HAZIJAI!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh hakuna uswahili hapo
ni ushauri nasaha bila vipimo....

Shosti nmekufanyia enrollment kama mwalimu mkuu wa kufanya practical training kwa hawa vijana...

ishakuwa dili sasa..! akija domo zege, anaanza kutongozwa kwanza tuone chemical reaction ni ipi!
 
aisee vijana wako mjini lakini naona hawana faida...

kuna haja ya kuanzisha remedial class kwa ajili ya hii assignment...!

kumbe dili hili mkuu!
kaka hili deal, watoto wakiume hawajui haya mambo....
Unaonaje ukaanzisha hiyo shule? Na kabanga kama atakusaidia, miezi sita mingi mkuu ushakua tajiri
miezi 6 utafiti mbona umeshatoka mbaya....
 
Last edited by a moderator:
Pls hakikisha hao wanafunzi wajiandae vema kuna somo LA practical baada ya training vitendea kazi viwe original
 
kaka hili deal, watoto wakiume hawajui haya mambo....

miezi 6 utafiti mbona umeshatoka mbaya....

Pls hakikisha hao wanafunzi wajiandae vema kuna somo LA practical baada ya training vitendea kazi viwe original

Yani msihofu....!! najaribu ku-enroll walimu wengi wa kike as much as possible!
kabanga atakuwa registrar..! utafiti anaweza kuwa dean of students!

practical training ni muhimu... kila baada ya siku 2 lazima practical zifanyike LIVE darasani!!
 
Last edited by a moderator:
aisee vijana wako mjini lakini naona hawana faida...

kuna haja ya kuanzisha remedial class kwa ajili ya hii assignment...!

kumbe dili hili mkuu!

Unaonaje ukaanzisha hiyo shule? Na kabanga kama atakusaidia, miezi sita mingi mkuu ushakua tajiri

yani msihofu....!! najaribu ku-enroll walimu wengi wa kike as much as possible!
kabanga atakuwa registrar..! utafiti anaweza kuwa dean of students!

practical training ni muhimu... kila baada ya siku 2 lazima practical zifanyike LIVE darasani!!
Excel napokea hiyo kazi, tushirikiane tutatue hili tatizo....
 
Last edited by a moderator:
Mtafute unayempenda chagua sehemu nzuri yenye miti mizuri anza kukomaa naye akzingua subiri april mos walimu wanakuja ila andaa pesa ya kuhonga
 
Hata uandishi wenyewe wa kitoto ...mcchana ndio nini?.....2cchekani ndio nini?
 
asante kwa ushirikiano! ila wife wako DEMBA asije akajiunga...! it iz vere risk for her! si unajua inajumuisha practical and pracitce live?
Haaa!!! we Excel hii mineno umeitoa wapi?
 
Last edited by a moderator:
haaa!!! we Excel hii mineno umeitoa wapi?

kwani ungependa kutoa somo live na ww? hii kazi ina salary nzuri ila ni vere vere risk teka! lolz!

afu kazi za risk ndo zinazolipa sana kama ulikuwa hujui...!! karibu baharini!!
 
Asante kwa ushirikiano! ila wife wako DEMBA asije akajiunga...! it iz vere risk for her! si unajua inajumuisha practical and pracitce live?
Mkuu Excel nimepata mshituko wa moyo hapa nilipo, sikuwa najua ikiwa wewe na utafiti mumenipa huyu mrembo DEMBA kuwa my wife wangu.
Mungu mkubwa.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza tuambie kwanini unataka ufundishwe kutongoza mchana na siyo usiku? Na unafikiri kutongoza mchana na usiku kuna tofauti?!.
Anamanisha msichana maandishi ya siku hizi ni matatizo makubwa
 
Haa haa haa ujue hata moyo wangu nilikuwa bado sijauambia!!! huyu Excel huyu.

D, hii chemical reaction pliz isivunjike! it iz vere vere benefisho to my incoming klass!

infwakti, wanafunzi wangu watakuwa ameizd wakiona kapoz za waalim wao! praktikale true!
 
haa haa haa ujue hata moyo wangu nilikuwa bado sijauambia!!! huyu Excel huyu...............
sasa DEMBA unataka kusema nini juu ya moyo wako...? si ndio unaufungua niingie au....?
nataka kujua maslahi.... how much will you pay me?
maslahi gani unataka zaidi ya kupendwa na kuhudumiana.....?
 
Last edited by a moderator:
Nenda kwenye makanisa ya walokole jitahidi kucheza mapambio na kujifanya unanena kwa lugha utawapata tu
 
Back
Top Bottom