Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

#8

Muulize maswali.

Katika kipengele hiki upo sahihi wala sikatai lakini kumbuka mwanamke hapendi kuulizwa maswali mengi maana ataboreka na hatofurahia mazungumzo yenu,

Kitu cha msingi ni kumuuliza maswali machache mno kama unahitaji kumfahamu zaidi ila yasiwe maswali ya kumfanya akose uhuru,
Mfano unaweza kumuuliza hivi.

" Irene nadhani wewe ni mwenyeji wa mkoa wa arusha bila shaka...?? "

Usimuulize hivi.

"Irene wewe ni kabila gani, umetokea mkoa gani kwani....?? "


Hivi ndivyo unatakiwa uoneshe utaalamu wa kuuliza maswali ya kidadisi ili kumfahamu zaidi.
 
Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela Mpe hela
 
Mkuu hivi bado unatumia mbinu hizi? Wenzako siku hizi tena usawa wa magufuli huu unamtoa out tu baada ya hapo unamkatia hela ya kitafunwa asubuhi huku ukimwagia sifa kede kede za kwamba yeye ni mzuri na mrembo.

Hapo tayar unakuwa umeumwafia mkate chai baada ya kuachana hyo siku ya kwanza baada ya siku mbili unamtoa tena out hapa sasa hakikisha sehemu unayoenda ni kwenye hotel au sehem iliyotulia lakn ina gest hapo hapo.

Hapo sasa unamwagia misifa ya kweli hapo ndio tayar atakuwa ameshaingia kibra.

Mkuu hizo njia zako hizo tulikuwa tunazitumia zaman kipind cha mwinyi na mkapa. Mm kwakweli nmeshasahu hata kutongoza
 
sawa mkuu
e391be9b5f56d37783d2b88441d730e3.jpg
Iphone kazini [emoji23]
 
Kumbe wanaume mnaumizaga vichwa kwa ajili yetu. Poleni. Hayo mavitu yote 15,yakae kichwani kisa mwanamke mmoja tu. Loh

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Hamna kitu kama hiko. Kwamfano ww hapo huyo jamaa akutoe out halafu atumie hayo mavitu 15 halafu akuondoe hivi hivi bila kuifanya pochi yako ijae kesho utataman tena kutoka naye?
 
Back
Top Bottom