Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Kila sketi inanjia yake ya kutongozwa ukikalili utapotea
 

Nimekubaliana na 60% ya ways zako. Nyingine nimeona zitabomoa zaidi.

Kwanini:

Vitu vingi ulivyovitaja ni ngumu kutokea kwenye reality. Mfano, kumgusa, I strongly don't recommend it. Its a good move lakini kumgusa unatakiwa uumguse in a natural way. Huwezi kuanza kumshika kiuno msichana uliokutana nae. Kama hajakuita kibaka, na utakula mawe kama sio kwenda jela. My advice kwenye hili, uumguse wakati unajitambulisha, 'Hey mambo, naitwa Ghost'*handshake*. Na pia wakati unamuaga, usimpe handshake mwambie 'am used to hugs'*open your hands and hug her son[emoji3] *. Zaidi ya hapo kwa Mara ya kwanza, you will be a creep. Mimi kama ni kaka unakula ngumi.

Conclusion, kwa mtazamo wangu, steps ulizozieleza hapo ni kama mtu ni rafiki yako tayari, ila kama humjui, jua you are taking a risk. You will either be buzi la kuchunwa au utakuwa that Creepy guy. 1/10 chance utampata. Huu mtazamo wangu tu.

-callmeGhost
 
We mfate
Mwambie nikukupenda ulivyo, nadhani tunaweza kuwa perfect couple, but for now tuanze kwa kujuana2
Hvyo utaserve tym

IQ standard
 
tupe na mbinu kwa wale wa ''naangusage tu mi sipigi kelele masambi yako mwenyewe''
 
mkuu kwa mfano kwenye hii forum nitumie njia zipi kwa mfano ... kumtokea mtu ambaye simjui ila anaonekana ni mdada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…