Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

kwa vijana wadogo wasiokua na shughuli za kufanya they can copy and paste huu uzi wako...ila sisi wazee wenye majukumu ya kitaifa huu uzi hautufai.
 
Ayse we jammaa hyo picha yangu umeipata wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo numberi 11 ndiyo mimi hutumia, akikubali tu kupiga vyombo basi ujue biashara imeshaisha.
 
Hamna kitu kama hiko. Kwamfano ww hapo huyo jamaa akutoe out halafu atumie hayo mavitu 15 halafu akuondoe hivi hivi bila kuifanya pochi yako ijae kesho utataman tena kutoka naye?
Pagumu. Ntarudi Baadae

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
 
Bila hela bora ujikalie home tu ucheki ndondo kapu.
 
Siri kubwa iliyojificha ni kwamba; mwanamke ndio huanza kumtongoza mwanaume. Na hufanya hivyo kwa kutumia lugha ya mwili ili kuonesha hisia zake. mwanaume anachokifanya siku zote ni kutafsiri hizo hisia na kuzifanyia kaz. endapo mwanamke hajaonyesha hisia zozote kwa mwanaume, huwa inakuwa ngumu sana kumpata na hata nguvu ya pesa inaweza kufail
 
Apo unaeza fanya vyote na uka ambulia patupu ...[emoji23] [emoji23] [emoji23] akili za wanawake ni tofauti sana na akili zetu wanaume ..cha msingi ni kuangalia position uliyonayo wakati unatongoza, izo mbwe mbwe wakat mwngine znapoteza muelekeo [emoji3] [emoji3] so cha muhimu apo ni kupambana na hali yako.

Note that: fanya vyote ila usisahau kutoa hii kitu PESA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo mbinu zitumie endapo tu mwanamke ataonyesha ishara yakukupenda kama hajaonyesha ishara yoyote usipoteze mda kumfukuzia kukubali madokeo ni niuungwana wa hali ya juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa...

Ila hakunaga mtiririko wala kanuni kwenye kutongoza.. Silaha ni , trust your instincts and guts... Be sharp and focused...

Be calm and cool... Take her by surprised...until when she realises, what the hell she is already into u...


Cc: mahondaw
 
I salute you Mr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbinu 1 tu na rahisi, mpe pesa, hizo theory zote uongo mtupu hata mapenzi ya kihindi n kizungu hio kitu hai work out.

Everybody is somebody
 
Yaani kazi yoote hiyo natafuta nini?!
Wakati takwimu zinaonesha ili Wanawake woote duniani wapate Mume basi lazima kila Mume mmoja awe na Wake wanne yaani 1:4.

Sasa hapo nianze tena kufuata hizi Procedures naomba Kazi?! Wapo wengi tu. Hataki aache....

"Even Heaven Cry"
 
Kumbe wanaume mnaumizaga vichwa kwa ajili yetu. Poleni. Hayo mavitu yote 15,yakae kichwani kisa mwanamke mmoja tu. Loh

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Hivi kuna mwanaume mwenye akili timamu anae lipa uzito kiasi hicho suala la kutongoza?


sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Mbinu zote ni nzuri ila ni za Zama za Mawe na Ujima"

Mfano, Leo akitoka kutengeneza nywele salon, utasikia usinishike Nywele , Mara oooh Oooooh Kucha zangu.

Ila hongera kwa kutukumbushia kipindi cha Wahenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…