Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Nasikitika sana tena kwa masikitiko makubwa mno tena mno maana WANAWAKE WAMUDA MREFU HIVI WALISHATOWEKAGA KARNE YA 19 SASA HV WAPO WA LEO LEO MNAKUWA MMEHSAJUANA YANI UNAMJUA LEO UNALALA NAE LEO MNAACHANA LEO. asante kwakutukumbusha enzi zile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mtu akinifanyia hivyo na muwacha nimezeeka go to the point what do you want only. Kha unadhani njama zotee watu wana muda hakuna sema ukubalike au ukatalike siku nne tu mtu anajua wakunyimwa au wakupewa longolongo za nini?

Huo ni usumbufuu sema best mambo

1.first day
2. Naweza pata namba yako. Kama kakupenda akikupa namba unakuwa unampigia simu unamtongozea huko huko
3. Umeshajua jina na kila kitu kuhusi yeye akikubali kuwa na wewe basi akikataa sepa yote maisha sijui vizawadi wapelekee manko zako home au watoto unaishi karibu na nyie eti lunch huo niutoto unapoteza hela labda kama kakubali hangaikia kilicho chako eti ua wewe ndio mmbya ukimpataa tu unamla unamtema anumia zaidi kwa zawadi ulizokuwa unampa kha.
 
Too detailed and true ila not not accurate, not all will do all those unless unataka umuoe huyo wa kundi la kwanza. Otherwise kama kupita tu ntaminimize hizo procedures but kwa wengine ntaenda hivo hivo, but aall in all inategemea na binti anaweza kuwa msomi bado nkapitia njia ya pili hiyo.
 
kama ambavyo nimeandika huko juu inategemeana kama wewe ni demu au msichana/mwanamke. na zipo pia hatua kwa watu wa aina yako zipo chini katika hiyo hiyo threads kwa wenye jinsia ya kike NYATUNYATU au MACHO KUMCHUZI. zote zimeandikwa. zile 10 ni kwa ajili ya wasichana classic hao wanaume wengi wanasumbuka nao sababu kweli ni wachache ila wanajitambua sana.

wewe zinakufaa zile hatua za pale chini maana kama kuandika tu umeandika
na muwacha, sepa, ua mmbya yaani hapa tu nikajua wewe hizo hatua hazikufai kabisa. ha ha ha... usijali wewe zipo zako.

 
Mkuu unaongelea Zama zip, hizi hizi kwel, maana made siku hizi ukishamuomba namba tu ndo tayar umeshamtongoza , Sasa mpaka upitie hayo maprocess you're lazima uonekane zege aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi sikuwahi kufail kwa aina ya wanawake naotembea nao hizo hatua huwa nawachukua. kiufupi sipendi wanawake rahisi kuwapata.
Mkuu hawa wa kizazi hiki ukiwapa class utapata tabu sana, utahangaika kufuata hizo process ila kuna jamaa jingine litavuta mkono tu linaenda kula. Achana kuwapa class hawa viumbe akili zao ni hizo hizo
 
Hao classic ndio warahisi kushinda maji ya mtoni angalia hao wauswailini ndio wagumu.
hao classic wanauana wenyewe kisa dudu.
hao ndio wanatongoza wanaume asilimia kubwa wao ndio wanajiona wanaoendwa ila ukweli ni huu mwanaume anayejitambua hapendi mlolongoo labda kama unafukuzia videnti vya primary .
ila kwa wanaojitambua wanapenda simple and clear.
kama unataka kumpata mdada wakuoa.
1.jitambue unamtaka yeye sio kigeu geu.
2.mtafute mtu wa karibu ujaribu kujua backround yake before wasting someone time.
3. Tenga muda wakupata namba yake.
4. Umeshamjua anapenda nini ndio umfanyie mf. Sisi wadada tunapenda outing so unaangalia mahali pazuri patulivu unamuandaa kwamba tunatoka out unamuanz kama rafiki sio kama mpenzi .
basi outing mbili tu utajua anakufaa au akufai.
dah sijui maua sijui cake sijui chocolate,na vijitu kama mtoto kawafanyie madenti watoto sio watu wanaojitambua bora hata shoping au mtoko au umtrear mtu lunch na hakuna mtu classic na wauswahilini mwanamke niyule moyo wako uneridhia na ndio maana hamuoi mnataka classic people na classic ladies wanataka wanaume tofauti na nyie so mnazeeka mwanamke ni yule tu anayekupenda nakukuheshimu sura sio tija saana maana mwishoni kutulia ni zero.
ukiishiwa ana sepa kabisaa .
nyie kaeni tu pendeni hao classic dharauni wanawake wakuwaoa mnataka wapita njia malizeni akiba zenu na hii hali mtabakia mkishaanga.
😈😈😈😈
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…