Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

ndo maana wakenya wanatutukana, wanasema watanzania ni watumiaji wazuri wa mitandao ila asilimia kubwa wapo kwenye mambo yasiyo na tija. kijana wa miaka 25 asubuhi yote badala yakuomba fursa unaomba fursa za namna ya kutongozaaa? kwelii? kweli kutoboa tutatoba ila kwa mbinde sanaaaa


Nimekutana na wakenya.had naogopa kichangamana nao...naogopa kbs..najiona empty
 
we msifie tuuu nakwambia msifie tuuuuu hata ka ameva chu@pi ilotoboka mwambie amependezaaa, msifie ata ka nywele zina vumbii msifie mwambie amependezaaaa, akivaa MTUMBA kanunua kwa machinga kwa hela ulompa msifieee amependeezaaaa..mwambie hakuna ka weweeee msifieeee

SHUBAMItiii Dogo tafta elaaa aiseee
 
Nimekutana na wakenya.had naogopa kichangamana nao...naogopa kbs..najiona empty
Hawana tabu mkuu sema sie huwa tunabug sana kwenye baadhi ya mambo mambo ya msingi tunafanya ya kijinga, ka huku asubuhi japo ndo muda wakushauriana mengi ya kufaa na ya kujenga mchana tukivurugwa hatuwezi shaurina vyema sasa wee unaweza kumshauri mtu namna ya kutongozaaaaa, watoto wa kileo ni empty kabisa hata ukiandika majibu ubaoni baadae wanakuja sema mwalimu alitupa majibu.
 
Hawana tabu mkuu sema sie huwa tunabug sana kwenye baadhi ya mambo mambo ya msingi tunafanya ya kijinga, ka huku asubuhi japo ndo muda wakushauriana mengi ya kufaa na ya kujenga mchana tukivurugwa hatuwezi shaurina vyema sasa wee unaweza kumshauri mtu namna ya kutongozaaaaa, watoto wa kileo ni empty kabisa hata ukiandika majibu ubaoni baadae wanakuja sema mwalimu alitupa majibu


Wako smart mno..sisi tunawaza ujinga tu
 
Habari wana jf, leo naona tupeane maarifa kidogo kuhusu kumshawishi mwanamke ili aweze kukubali kimapenzi.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ila sasa toka nianze kutongoza siwahi kupata bahati ya kukubakiwa na mwanamke yeyote yule! Huwa naumia sana kujiuliza maswali mengi sana. Huwa naona huenda ni mkosi au kuna kitu nyuma yangu.
Najua ndani ya jf kuna watu wenye ujuzi mbalimbali jamani naombeni tupeane maarifa ya utongozaji. Msaada please make hata muda wa kuoa umeishafka
Tafuta pesa dogo hao wapo tu
 
Nikikupa mbinu sikutakii mema magonjwa mengi sana Mdogo wangu

Nafikiri kwa umri wako tafuta Pesa zaidi mengi mazuri utayaona na utayakuta.

Kaka yako nimeshalala na wanne usiku mmoja 2009 sina nilichopata zaidi ya kuamka nimechoka akili na mwili.
 
Nikikupa mbinu sikutakii mema magonjwa mengi sana Mdogo wangu

Nafikiri kwa umri wako tafuta Pesa zaidi mengi mazuri utayaona na utayakuta.

Kaka yako nimeshalala na wanne usiku mmoja 2009 sina nilichopata zaidi ya kuamka nimechoka akili na mwili.


Hahahahhaa. Kuna bro angu naye anasema aliwah lala na wanawake wa3😂😂..ss hv hana hata mia😂😂😂..alikua mfanyabiashara wa dagaa anaacha gari la mzigo Moro analala na wanawake, gari inaenda na mzigo, anarushiwa tu hela. Sasa hv wanashea dawa na Ndugai
 
Sio jambo jema kutaja Majina ya watu kuwa na nidhamu na heshima utafika mbali..

Ugonjwa huu ni wetu wote hata Mama yangu alikufa huo ugonjwa.
Hahahahhaa...Kuna bro angu naye anasema aliwah lala na wanawake wa3[emoji23][emoji23]..ss hv hana hata mia[emoji23][emoji23][emoji23]..alikua mfanyabiashara wa dagaa anaacha gari la mzigo moro analala na wanawake..gari inaenda na mzigo..anarushiwa tu hela...ss hv..wanashea dawa na Ndugai
 
ndo maana wakenya wanatutukana, wanasema watanzania ni watumiaji wazuri wa mitandao ila asilimia kubwa wapo kwenye mambo yasiyo na tija. kijana wa miaka 25 asubuhi yote badala yakuomba fursa unaomba fursa za namna ya kutongozaaa? kwelii? kweli kutoboa tutatoba ila kwa mbinde sanaaaa
Mkuu kwani hujui ashiki?

Anahitaji huduma ya mwili mkuu, wengine bila hii maisha yao yanakuwaga magumu kweli.
 
Pana walakini hapa, kwanza anaonekana hana hela

Ye anatafuta demu badala ya hela[emoji16]

Pengine anabalehe laiti angejua maana ya maisha asingeliwaza mademu

He is almost the same age with me,. Lakn nafeel like nmekula chumvi nyingi kweli baada ya kuyajua maisha[emoji16]
pu

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] sawa mkuu ila mapema yote kupeana mbinu za kutongoza mkuu?
 
Back
Top Bottom