Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
ndo maana wakenya wanatutukana, wanasema watanzania ni watumiaji wazuri wa mitandao ila asilimia kubwa wapo kwenye mambo yasiyo na tija. kijana wa miaka 25 asubuhi yote badala yakuomba fursa unaomba fursa za namna ya kutongozaaa? kwelii? kweli kutoboa tutatoba ila kwa mbinde sanaaaa
Nimekutana na wakenya.had naogopa kichangamana nao...naogopa kbs..najiona empty