Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
ndo maana wakenya wanatutukana, wanasema watanzania ni watumiaji wazuri wa mitandao ila asilimia kubwa wapo kwenye mambo yasiyo na tija. kijana wa miaka 25 asubuhi yote badala yakuomba fursa unaomba fursa za namna ya kutongozaaa? kwelii? kweli kutoboa tutatoba ila kwa mbinde sanaaaa
Wakati wenzake wanaendelea na mitiani ya mockmiaka 25 bado wewe ni mdogo sana,mko likizo? Mbona mmewahi kufunga shule?
Hawana tabu mkuu sema sie huwa tunabug sana kwenye baadhi ya mambo mambo ya msingi tunafanya ya kijinga, ka huku asubuhi japo ndo muda wakushauriana mengi ya kufaa na ya kujenga mchana tukivurugwa hatuwezi shaurina vyema sasa wee unaweza kumshauri mtu namna ya kutongozaaaaa, watoto wa kileo ni empty kabisa hata ukiandika majibu ubaoni baadae wanakuja sema mwalimu alitupa majibu.Nimekutana na wakenya.had naogopa kichangamana nao...naogopa kbs..najiona empty
Hawana tabu mkuu sema sie huwa tunabug sana kwenye baadhi ya mambo mambo ya msingi tunafanya ya kijinga, ka huku asubuhi japo ndo muda wakushauriana mengi ya kufaa na ya kujenga mchana tukivurugwa hatuwezi shaurina vyema sasa wee unaweza kumshauri mtu namna ya kutongozaaaaa, watoto wa kileo ni empty kabisa hata ukiandika majibu ubaoni baadae wanakuja sema mwalimu alitupa majibu
Tafuta pesa dogo hao wapo tuHabari wana jf, leo naona tupeane maarifa kidogo kuhusu kumshawishi mwanamke ili aweze kukubali kimapenzi.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ila sasa toka nianze kutongoza siwahi kupata bahati ya kukubakiwa na mwanamke yeyote yule! Huwa naumia sana kujiuliza maswali mengi sana. Huwa naona huenda ni mkosi au kuna kitu nyuma yangu.
Najua ndani ya jf kuna watu wenye ujuzi mbalimbali jamani naombeni tupeane maarifa ya utongozaji. Msaada please make hata muda wa kuoa umeishafka
Wako empty tu kichwani sema hujujiaminiNimekutana na wakenya.had naogopa kichangamana nao...naogopa kbs..najiona empty
Wewe bado ni kigorohe....subiri utakapokuwa gorohe ndo utajua mambo hizo
Nikikupa mbinu sikutakii mema magonjwa mengi sana Mdogo wangu
Nafikiri kwa umri wako tafuta Pesa zaidi mengi mazuri utayaona na utayakuta.
Kaka yako nimeshalala na wanne usiku mmoja 2009 sina nilichopata zaidi ya kuamka nimechoka akili na mwili.
Hahahahhaa...Kuna bro angu naye anasema aliwah lala na wanawake wa3[emoji23][emoji23]..ss hv hana hata mia[emoji23][emoji23][emoji23]..alikua mfanyabiashara wa dagaa anaacha gari la mzigo moro analala na wanawake..gari inaenda na mzigo..anarushiwa tu hela...ss hv..wanashea dawa na Ndugai
Mkuu kwani hujui ashiki?ndo maana wakenya wanatutukana, wanasema watanzania ni watumiaji wazuri wa mitandao ila asilimia kubwa wapo kwenye mambo yasiyo na tija. kijana wa miaka 25 asubuhi yote badala yakuomba fursa unaomba fursa za namna ya kutongozaaa? kwelii? kweli kutoboa tutatoba ila kwa mbinde sanaaaa
puWakati wenzake wanaendelea na mitiani ya mock
π π π π sawa mkuu ila mapema yote kupeana mbinu za kutongoza mkuu?mkuu kwani hujui ashiki?
Anahitaji huduma ya mwili mkuu, wengine bila hii maisha yao yanakuwaga magumu kweli.
pu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] sawa mkuu ila mapema yote kupeana mbinu za kutongoza mkuu?