Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Pole. Mimi mademu n wengi mpk wengine nmewapiga marufuku kuja getho japo bado wanang'ania
 
Hela unazo? Hamna mkate mgumu mbele ya Supu.
 
Duuuuh miaka 25 hujawah kugegeda inamana we ni bikra hahaaaaaa iv mwanaume ambaye hajahawah kugegeda anaitwaje...msaidien mwenzenu...pole mkuuu me toka nimebalehe washafka 30 makadilio ya chini
 
N mwak n miez mitano kagudua nampenda kwk ilikua kam mshangao(hajaamin hilo)alikua kam best angu sikumbuk n lini niliingia na mapenz juu yak(alikua kam rafik kwang)...tunaumbal kati yetu n tangia namfaham kw mwaka n miez mitan nlipat mda kua pamoj nae kw siku3...msimamo wak n haitaj kua n mahusian n mwanaum yoyot sabb amevunjw san moy n huo ndio uamz wak wak...,imekua ngum san kwang kumshawish kutokan n umbal wet [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Yaani hii kitu nimesoma heading na paragraph ya kwanza na ya pili just to grasp the main concept. Lakini ndugu yangu in practice as of today utongozaji wanawake umebadilika sana tofauti na unavyowaza. Leo yawezekana zaidi ya asilimia 70 ya wanaotongozana wanafanya hivyo wakitumia zaidi ya asilimia 90 ya muda wa kutongozana bila kuonana. Kama walionana labda ni mara moja tu pale walipopeana namba za simu. Lakini kubwa zaidi ya yote nyakati hizi mtongozane uso kwa uso au kwa njia ya simu kigezo kikuu ni mkwanja mkuu. Kama huna mkwanja kwenye hizo mambo utaseka sana ukibakia kujipodoa na kubadilisha mikogo ya kutembea. Mkuu watu wanataka mpunga mezani mengine hayo hadithi tu.
 
Dem nampigia cm anaongea mkatomkato tu. Sijui ana lijamaa lake. Hajui Kama mie nataka kumuoa?
 
Kwa misingo maza ya tandale anaipata. Akisema ana mafuta ya korie gheto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…