Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,456
Reaction score
1,567
Wenyeji wa jamvi salaaam.

Nimekua nikijiuliza mara nyingi juu ya wale wanaume wanaobahatika kupendwa sana na wanawake fulani waliokaribu nao iwe kazini, vyuoni, mitaani n.k halafu huwa wanakataa kwa nguvu zote.
Hivi hata kama hujawahi kukutana na hali hii unahdani ni mambo gani yanayoweza kuwa sababu kwa wewe kumkataa mwanamke?

natanguliza shukrani zangu.
 
Me demu akiwa mchafu,mbaya naishia kutokumpenda hata kama yeye anajitahidi kunitaka
 
kuna sababu nyingi tu za kumkataa, includes kama hana mvuto, etc. And as for me, MVUTO = inye tetemesha, sura nzuri, na smart mouth. teh teh
 
Wanawake wengi huwa wanaamini kwamba kwamba mwanamume ni kiumbe dhaifu mbele ya wanawake (of course kuna ukweli flani) ila kuna mazingira pia wanaume huwa wanakuwa wagumu sana hata mwanamke ajigonge vipi, kitakachofanyika ni kuwa anakukwepa tu ili mradi asiingie kwenye anga zako pamoja na kwamba mnapokuwa kazini ataonyesha ushirikiano ila zile sehemu hatarishi kama nyumbani kwako na sehemu nyingine hata umwalike haji na akija anakuja na rafiki yake.

Kimsingi ukiona mwanamume anamkimbia bidada especially yule ambae kwa vigezo vya kibinadamu kwamba anaitwa mrembo ujue huyo jamaa kwanza ana mrembo wake ambae ameshamfanyia screening na kumwona anafaa kuwa wife wake pia kingine namna ambavyo huyo mrembo anatumia nguvu kumnasa mwanamume hivyo anaona kabisa hapa nikinasa mahusiano yangu niliyojenga na mrembo wangu kwa miaka mingi yatavunjika, but ukiingia kwa speed ya kawaida na akagundua kwamba sio king'ang'anizi na unatumia approach za kawaida ambazo zitamfanya akutokea huwa wengi tunakamatika kiurahisi na hapo ndio ule msemo wa mwanamume ni kiumbe dhaifu. (though napo inategemea maana hapo nae anaweza akawa anakupa ma-hope ya hata mnatoka wote alafu anaingia mitini hasa ukizingatia wanaume huwa hawamkatai mwanamke kwa style ya kumshushua zaidi ya kumwonyesha sign ya kutomwelewa aka domo zege kumbe ndio anakukataa hivyo unless kama umemwambia kabisa

Kikubwa hapo ni mvuto unahusika napo anaweza aka run away na hapa ni wengi
 
Wenyeji wa jamvi salaaam.

Nimekua nikijiuliza mara nyingi juu ya wale wanaume wanaobahatika kupendwa sana na wanawake fulani waliokaribu nao iwe kazini, vyuoni, mitaani n.k halafu huwa wanakataa kwa nguvu zote.
Hivi hata kama hujawahi kukutana na hali hii unahdani ni mambo gani yanayoweza kuwa sababu kwa wewe kumkataa mwanamke?

natanguliza shukrani zangu.


Binafsi naona sababu kuu ni Malengo pamoja na Maadili.
 
Mimi nimetokea wengi jf hamna hata mmoja aliyechomoa.
Nazani hamna mwanaume anayekataa

''Im thankfull to all those who say NO to me..its because of them i did it myself'' by CUTE b
 
Aaaah wapi.....

Kuna wadada wengine huwa wanagundu aisee ila wengine kla mtu anatamani ajigonge alafu wanakuwa sio wa type hiyo, unajua hata ndege ukimwekea mtego wa wazi wakati yeye alizoea kujitafutia huwa anajiuliza mara mbilimbili na ndicho kinachotokea kwa huyo anekataliwa maana anarahisisha mchezo mpaka mwanaume anajishauri "hivi nina nini mpaka anitokee kiurahisi hivi"
 
''Im thankfull to all those who say NO to me..its because of them i did it myself'' by CUTE b

Heheheeee because of them i did it myself.
Sasa kama hawashushi nyavu nifanyaje nashusha mwenyew
 
Back
Top Bottom